Natafuta Rafiki Wa Kike Wa Kumjali

Natafuta Rafiki Wa Kike Wa Kumjali

Yaani tangu nikupe talaka unaweweseka kama nini?
Basi leo njoo uonje.

we nungayembe,acha kuingilia mambo ya watu,nenda zako sweken huko ukale supu ya miguu ya kuku.Hapa tunatafuta wake wa kuoa,si unaona bishanga nimepiga chabo?Umesikia @kongosho?
 
mmmmh kazi ipo, haki ya nani ukiwa serious na mwenzio anatania utakonda unajiona hahahahahahh mbombongafu, kiruuuu

Jamani mbona sielewi? Au unawasema hawa Wadada wa JF ambao mabandiko yao yanaonyesha hawako serious?

Ipo kazi kweli.
 
utani mwingine haufai jamani duh!!kigezo cha umri kimenitoa kwenye kinyang'anyiro.
kama ni kweli.al the best bro.
 
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.

Sifa zake:


  1. Awe na Umri usiopita miaka 40
  2. Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
  3. Awe na tabia njema na asiwe na tamaa mbaya
  4. Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
  5. Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
  6. Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
  7. Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana

Sifa zangu:


  1. Umri wangu miaka kati ya 45-50
  2. Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
  3. Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
  4. Sina mke
  5. Nina watoto wawili

Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com

PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously

Nitumie kwanza picha ndio nitafikiria kuleta application yangu.
 
utani mwingine haufai jamani duh!!kigezo cha umri kimenitoa kwenye kinyang'anyiro.
kama ni kweli.al the best bro.
mamajack kama vigezo vingine uko sawa, umri si tatizo. Anzisha mawasiliano basi tu-confirm interest. lol
 
Last edited by a moderator:
mie kigezo cha umri kimenitoa nje ya mpambano.nimezidi mwaka mmoja.

Kama umezidi mwaka moja ina maana una 41. Na mimi nina 45-50 so bado imetulia. Kumbuka 40 na 41 ni kama rungu na bakora. Karibu sana.
 
Duh, post ya kwanza uko uzi huu. Ipo maneno.

Picha si tatizo. Njoo chemba kwanza tuelewane kuhusu vigezo.

Ni maalum kwa uzi huu. Kumbuka Smile alikuambia watu wana ID nyingi humu. Na kwa uzi huu nina hakika zile ID zilizosahaulika kutumika for months zitaibuliwa. Bora mie nimekuja na mpya kabisa. I mean business!
 
Ni maalum kwa uzi huu. Kumbuka Smile alikuambia watu wana ID nyingi humu. Na kwa uzi huu nina hakika zile ID zilizosahaulika kutumika for months zitaibuliwa. Bora mie nimekuja na mpya kabisa. I mean business!

Nimekusoma Mdada. Hebu lianzishe kwenye PM basi au email
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom