Natafuta Rafiki Wa Kike Wa Kumjali

Natafuta Rafiki Wa Kike Wa Kumjali

hizo sifa za no. 3,4 wewe unazo? au unataka tu mwenzako awe nazo kumbe wewe huna hata moja? unajua wanaume wengi wa kitz wanapenda mabinti waliojiheshimu hata kama wao ni mapepe? then unamaanisha nini sifa no. 7? ndoa au kuzini kwa muda mrefu? mbona hakuna malengo hapo. mafanikio mema kaka.
kekuwetu; wewe ni jinsia gani? Kama unameet vigezo unayo haki ya kufanya mawasiliano katika njia sahihi niliyotoa. Bila ya shaka utapata wasaha wa kupata majibu ya maswali yako yote.

Juu ya mitazamo yako, una haki ya kuwaza na kutoa maoni unayoyataka. Glass iliyo na maji nusu unaweza kuielezea kwa namna mbili: the glass is: "Half Empty" (Negative) or "Half Full" (Positive). The choice is yours.
 
Last edited by a moderator:
kila laheri my brother Cool. Mungu akutangulie ktk hitaji lako lol
Lady G; asante sana. Tuombeane. Sasa mbona unanicheka tena? Halafu umenibatiza Brother Cool wakati mimi ni "Cool Gentleman".

Thank you and stay blessed.
 
Last edited by a moderator:
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.

Sifa zake:


  1. Awe na Umri usiopita miaka 40
  2. Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
  3. Awe na tabia njema na asiwe na tamaa mbaya
  4. Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
  5. Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
  6. Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
  7. Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana

Sifa zangu:


  1. Umri wangu miaka kati ya 45-50
  2. Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
  3. Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
  4. Sina mke
  5. Nina watoto wawili

Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com

PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously

jamani mtoto mzuri aje kwangu swager cna vgezo vya kumfanya mwanamke asiwe huru
 
Sam Saideya ukitaka kuona my Pic Facebk dat my username upo ready? 0656404721
 
Abeee Cool Gentleman....hivo vigezo vyako ni utata hadi nashindwa kuapply he he he
 
Abeee Cool Gentleman....hivo vigezo vyako ni utata hadi nashindwa kuapply he he he

Jamani Nehondo; kigezo gani kigumu?




  1. Awe na Umri usiopita miaka 40? nadhani unacho.
  2. Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili? Hiki ni mimi tu najua nikiona picha au nikikuona so huna haja ya kuogopa.
  3. Awe na tabia njema na asiwe na tamaa mbaya? Kwani una tabia mbaya na tamaa mbaya?
  4. Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini? Kwani hupendi maendeleo?
  5. Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD? Kama hujafikia Diploma, si uko tayari kujiendeleza?
  6. Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka? Hiki simple bana. Si unapendwa tu na kudekezwa?
  7. Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana? Au hutaki hivi? Unatakaje?

Funguka basi . . .
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nitaingia katika mchakato huohuo very soon, please ukishafanya mchujo nitupie kwangu japo wawili. Vigezo vyangu sio vikubwa sana kwangu, hata wa darasa la saba kwangu atanifaa. Nitatoa vigezo vyangu punde.
 
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.

Sifa zake:


  1. Awe na Umri usiopita miaka 40
  2. Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
  3. Awe na tabia njema na asiwe na tamaa mbaya
  4. Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
  5. Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
  6. Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
  7. Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana

Sifa zangu:


  1. Umri wangu miaka kati ya 45-50
  2. Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
  3. Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
  4. Sina mke
  5. Nina watoto wawili

Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com

PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously
Cool Gentleman usahili bado unaendelea au umeshaopoa?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom