Cool Gentleman
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 330
- 235
- Thread starter
- #241
MadameX acha kunisingizia bana. Hujui haya ni mambo ya Teknoloji? Kwenye Profile yako bado una Avatari ya zamani. Au hii si yako?Cool Gentleman , acha mambo ya kuwa na ID mbili mbili bwana. Duuh kumbe na wewe pia si mkweli, huyu Mayasa ninae almost two months na wewe unaonyesha umejoin 10/06/2012, kivipi, hebu ninong'oneze ile ID yako nyengine hakuna mtu anayesikia, Erotica, kwasasa anachapa maji!
[h=1]MadameX
JF Senior Expert Member
Chezea CG wewe? Mi FBI bana.
Last edited by a moderator: