Natafuta Rafiki Wa Kike Wa Kumjali

Natafuta Rafiki Wa Kike Wa Kumjali

teh teh teh. hapa nishaona sina langu. mara ya pili unasema nina fujo.

ww si umesema ni pm? au ulitaka ni pm taratibu? teh teh teh

LOL . . . PM si unakuja chemba bana? We shusha mistari unaendana vipi na vigezo tajwa? Au unataka umwage mtama hadharani?
 
LOL . . . PM si unakuja chemba bana? We shusha mistari unaendana vipi na vigezo tajwa? Au unataka umwage mtama hadharani?


sasa kwanini ulsema niache fujo? ukanifanya niahirishe.. ofcoz ungenidekeza

hadharani ndio ningejua ni chosen. wote wamaokumemdea wataachia ngaz. nabak mm tu.
 
sasa kwanini ulsema niache fujo? ukanifanya niahirishe.. ofcoz ungenidekeza

hadharani ndio ningejua ni chosen. wote wamaokumemdea wataachia ngaz. nabak mm tu.

Halafu ukishinda unaonekana utanikeep sana busy wewe . . . lol . . .. We mtundu eeh? Nilisema acha fujo ili nijue kama uko serious au la . . . sasa tuma maombi. Kudekezwa ni pale utakapokuwa mshindi tu? Yaani hudekezwi kwa maneno ni vitendo.
 
Halafu ukishinda unaonekana utanikeep sana busy wewe . . . lol . . .. We mtundu eeh? Nilisema acha fujo ili nijue kama uko serious au la . . . sasa tuma maombi. Kudekezwa ni pale utakapokuwa mshindi tu? Yaani hudekezwi kwa maneno ni vitendo.


teh teh teh. nime pm, nimeona iwe tofauti na za wote. nime attach na picha,

huwez uziwa mbuz kwenye gunia. nimekupa na a/c ya kutumia tujirushe web cam.

nasubir siku utatangaza mshindi. ciao. mwaaaah.
 
Si nilikupa majibu yangu ukayapotezea.....
Yummy ulinijibu hivi:

Majibu yangu ni haya,tafadhali nijulishe hapa hapa kama umenitunuku shahada au la!

1. kati ya 25-30
2. Hapa holaaa
3. tabia ni nzuri sana kupitiliza
4. ndoto tu ziko nyingi mpaka za kujengea nyumba hewani
5. mama weeee nimeishia la saba jamaniii(serious) lakini nina biashara yangu ya kuuza karanga ndio inaniweka mjini(am very siriasi)
6. niko tayari kabisaaa....hilo tena si lakuuliza
7. uhusiano tu???hata ndoa niko tayari

NINA WATOTO WATATU!!!! 1 girl & 2 boys.

Sifa zako:- SIHITAJI KUZIJUA!!!!

Kwa kuwa majibu yako hayakuonyesha kama uko serious na mimi nikakujibu: "JF zaidi ya uijuavyo".

Baada ya hapo uliniambie nidelete ile Avatar ya "Mguu", nika-comply.

Nadhani kama uko serious, tuonane chemba, siwezi kutoa majibu hadharani maana ni mchakato.
 
Last edited by a moderator:
teh teh teh. nime pm, nimeona iwe tofauti na za wote. nime attach na picha,

huwez uziwa mbuz kwenye gunia. nimekupa na a/c ya kutumia tujirushe web cam.

nasubir siku utatangaza mshindi. ciao. mwaaaah.

Sijaona PM wala email. Hata hivyo asante kwa kuchangamsha uzi.
 
Yummy ulinijibu hivi:

Kwa kuwa majibu yako hayakuonyesha kama uko serious na mimi nikakujibu: "JF zaidi ya uijuavyo".

Baada ya hapo uliniambie nidelete ile Avatar ya "Mguu", nika-comply.

Nadhani kama uko serious, tuonane chemba, siwezi kutoa majibu hadharani maana ni mchakato.

Hahahaaa haya bana ngoja nije chemba fasta kabla bahati yangu haijawahiwa:-*
 
Hahahaaa haya bana ngoja nije chemba fasta kabla bahati yangu haijawahiwa:-*

lol sasa hiyo ni dalili njema ya kupendwa ukapendeka na kudekezwa na ukadeka. Mtoto wa kike shurti kujilegeza kidogo . . . haluuuuuuu . . .

Huna haja ya kwenda kusafisha nyota Bagamoyo . . . karibu kwa PM.
 
Hello Moony kwa maoni yangu post yangu kuu imejieleza vizuri sana unless kama hujaielewa.Sijaweza kuandika kila kitu kinachonihusu ndiyo maana kuna njia ya kuwasiliana zaidi kwa walio serious tu. Ni Nadra kuwakuta marafiki wa jinsia tofauti wanalingana miaka.

By the way, ulishafanikiwa kumpata kwenye thread yako? https://www.jamiiforums.com/love-connect/272829-mchumba-anatakiwa.html

mlimzodoa dadangu ati ni mzee lakini hajakata tamaa at 55 mi namwona bomba unaweza dhani yuko 35
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom