NATAFUTA RAFIKI WAKIUME AWE ANATOKEA MWANZA AWE NA UMRI WA MIAKA 30 ANA ADIA YA BIASHARA KTK MKOA WA MWANZA TWASILIANE erasto02@yahoo.com
Natafuta rafiki wa kike (girlfriend) wa kubadilishana naye fikra na uzoefu wa mambo mbalimbali.
* Napenda kujifunza mambo mapya
* Awe mcheshi na mwepesi kujifunza
Mkuu Idimi,
ni katika kutafuta ufafanuzi, 'awe mwepesi wa kujifunza'? au awe na 'experience'? ili uweze kujifunza?
kila la heri kaitka kutafutab 'girl friend'
subira yavuta heri
NATAFUTA RAFIKI WAKIUME AWE ANATOKEA MWANZA AWE NA UMRI WA MIAKA 30 ANA ADIA YA BIASHARA KTK MKOA WA MWANZA TWASILIANE erasto02@yahoo.com
Sasa Bw.Idimi mimi sijaelewa kwani ni kujifunza tu au kuna issue nyingine kwani nimeona umeweka mpaka suala loa urefu nk.na kama ni suala la kujifunza unaweza kujifunza kwa mtu yeyote yule hata kwa mtoto mdogo any way endelea kuvuta subira tapatikana tu, kila la kheri
Mkuu Kasana,
Najua mhusika atakuwa na ujuzi fulani wa jambo fulani ambalo huenda jambo hilo silijui,na hatakuwa na ujuzi wa jambo jingine ambalo mie nina ujuzi nalo, kwani hakuna mtu "Asiye na kitu" kamwe! Hali kadhalika hakuna aliye na kila kitu. Ndipo hapo inakuja pointi ya yeye kuwa "Mwepesi" kupokea yangu niliyonayo, kama mimi nilivyojiweka tayari kupokea toka kwake yale ambayo sinayo.
Tuombeane kheri mkuu!
Bila shaka nitampata
IDIMIDuh! Hii kali.
Haiyumkini kumpata aliye kamili kila idara, ingawa huenda ikatokea. Anyway, nitamkubali tu.
Still searching.
NATAFUTA RAFIKI WAKIUME AWE ANATOKEA MWANZA AWE NA UMRI WA MIAKA 30 ANA ADIA YA BIASHARA KTK MKOA WA MWANZA TWASILIANE erasto02@yahoo.com