Natafuta mwenza

Jun 8, 2023
20
30
Wadau hope mko poa,

Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.

Sifa zangu:
  1. Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
  2. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
  3. Nina umri wa miaka 32.
  4. Dini ni mkristo.
  5. Kabila Mmasai.
Sifa za ninae muhiji:
  1. Awe mkristo.
  2. Awe na akili ya biashara.
  3. Umri 25-30.
  4. Kabila lolote, kama langu pia itapendeza zaidi.
NAWAKILISHA. ASANTENI
 
Wadau hope mko poa,

Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.

Sifa zangu:
  1. Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
  2. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
  3. Nina umri wa miaka 32.
  4. Dini ni mkristo.
  5. Kabila Mmasai.
Sifa za ninae muhiji:
  1. Awe mkristo.
  2. Awe na akili ya biashara.
  3. Umri 25-30.
  4. Kabila lolote, kama langu pia itapendeza zaidi.
NAWAKILISHA. ASANTENI

Hujataja jinsia yako mkuu tuchamkie fursa..
 
Wadau hope mko poa,

Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.

Sifa zangu:
  1. Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
  2. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
  3. Nina umri wa miaka 32.
  4. Dini ni mkristo.
  5. Kabila Mmasai.
Sifa za ninae muhiji:
  1. Awe mkristo.
  2. Awe na akili ya biashara.
  3. Umri 25-30.
  4. Kabila lolote, kama langu pia itapendeza zaidi.
NAWAKILISHA. ASANTENI
unataka mume au mke
 
Wadau hope mko poa,

Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.

Sifa zangu:
  1. Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
  2. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
  3. Nina umri wa miaka 32.
  4. Dini ni mkristo.
  5. Kabila Mmasai.
Sifa za ninae muhiji:
  1. Awe mkristo.
  2. Awe na akili ya biashara.
  3. Umri 25-30.
  4. Kabila lolote, kama langu pia itapendeza zaidi.
NAWAKILISHA. ASANTENI
Unatafuta wa kuchakatana naye au wa kumchakata au wa kukuchakata?

Imebidi niulize kisanii uweze kujibu
 
Wadau hope mko poa,

Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.

Sifa zangu:
  1. Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
  2. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
  3. Nina umri wa miaka 32.
  4. Dini ni mkristo.
  5. Kabila Mmasai.
Sifa za ninae muhiji:
  1. Awe mkristo.
  2. Awe na akili ya biashara.
  3. Umri 25-30.
  4. Kabila lolote, kama langu pia itapendeza zaidi.
NAWAKILISHA. ASANTENI
Jinsia yako hujaitaja, tunahofia vurumai tusije inbobo na makopakopa kumbe we ni mwamba
 
โˆ… ๐˜ ๐˜ฐ๐˜ถ ๐˜ค๐˜ข๐˜ฏ'๐˜ต ๐˜ด๐˜ฆ๐˜ฆ ๐˜ต๐˜ฉ๐˜ช๐˜ด ๐˜ค๐˜ฐ๐˜ฎ๐˜ฎ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ต, ๐˜ฃ๐˜ฆ๐˜ข๐˜ค๐˜ถ๐˜ด๐˜ฆ ๐˜บ๐˜ฐ๐˜ถ ๐˜ข๐˜ณ๐˜ฆ ๐˜ถ๐˜ด๐˜ช๐˜ฏ๐˜จ ๐˜ข ๐˜Š๐˜ฉ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฆ ๐˜ฎ๐˜ฐ๐˜ฃ๐˜ช๐˜ญ๐˜ฆ, ๐Ÿ˜Ž
 
โˆ… ๐˜ ๐˜ฐ๐˜ถ ๐˜ค๐˜ข๐˜ฏ'๐˜ต ๐˜ด๐˜ฆ๐˜ฆ ๐˜ต๐˜ฉ๐˜ช๐˜ด ๐˜ค๐˜ฐ๐˜ฎ๐˜ฎ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ต, ๐˜ฃ๐˜ฆ๐˜ข๐˜ค๐˜ถ๐˜ด๐˜ฆ ๐˜บ๐˜ฐ๐˜ถ ๐˜ข๐˜ณ๐˜ฆ ๐˜ถ๐˜ด๐˜ช๐˜ฏ๐˜จ ๐˜ข ๐˜Š๐˜ฉ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฆ ๐˜ฎ๐˜ฐ๐˜ฃ๐˜ช๐˜ญ๐˜ฆ, ๐Ÿ˜Ž
Chinese mobile or Chinese language ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Wadau hope mko poa,

Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.

Sifa zangu:
  1. Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
  2. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
  3. Nina umri wa miaka 32.
  4. Dini ni mkristo.
  5. Kabila Mmasai.
Sifa za ninae muhiji:
  1. Awe mkristo.
  2. Awe na akili ya biashara.
  3. Umri 25-30.
  4. Kabila lolote, kama langu pia itapendeza zaidi.
NAWAKILISHA. ASANTENI
Location
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom