mkubwa wa habari
Member
- Jun 8, 2023
- 20
- 30
Wadau hope mko poa,
Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.
Sifa zangu:
Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.
Sifa zangu:
- Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
- Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
- Nina umri wa miaka 32.
- Dini ni mkristo.
- Kabila Mmasai.
- Awe mkristo.
- Awe na akili ya biashara.
- Umri 25-30.
- Kabila lolote, kama langu pia itapendeza zaidi.