Natafuta partner wa kwenda zanzibar

Natafuta partner wa kwenda zanzibar

Umechelewa mkuu[emoji1][emoji1].... Jamaa ashaSEAL the DEAL

IMG_3006.JPG


Hakuna Deal yeyote Mzee wa 5G
 
nina safari ya kwenda huko, nitakua na Private boat, tutakua wanaume watano na wanawake wa5, kama utapenda kujumuika karibu.
 
Hahahah hazard tumemtandika misumari..tuyaache hayo hako ka marianah kanaonyesha kakali mzee,, hembu tuwakilishe vyema[emoji23][emoji23]
Najua sasa hivi, umeshapata K vant sasa ndiyo maana juzi hazard kafungwa 7
 
Hahahah hazard tumemtandika misumari..tuyaache hayo hako ka marianah kanaonyesha kakali mzee,, hembu tuwakilishe vyema[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bichwa lako mimi hata sina mawazo hayo mimi nimeshaolewa ujue na bahati nzuri nimepata mume mwenye mitazamo kama yake ndo maana nimemsifia kwa kifupi huwa nawapenda sana wanaume wanaowaheshimu wanawake hivyo mkewe mtarajiwa atakuwa na bahati sana kumpata kama mimi nilivyo na bahati
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe hebu ondoka hapo bar nenda home kalale hizo ulizokunywa zimeshatosha kwa leo khaa
Hapa ni ngumu kuondoka zinagongwa ngoma za ferre gola,jb mpiana hatariii sana
 
Back
Top Bottom