Watoto ndo wana umri kuanzia 27 mpaka 35 au 😆hello, mimi ni mwanaume mwenye watoto wa tatu, ni dereva Bajaji, nahitaji mwanamke wa kuishi nae na kulea watoto umri kuanzia miaka 27 hadi 35, sichagui rangi, dini wala kabila. Awe tayari kuishi Arusha
Tafuta bikra utanishukuruhello, mimi ni mwanaume mwenye watoto wa tatu, ni dereva Bajaji, nahitaji mwanamke wa kuishi nae na kulea watoto umri kuanzia miaka 27 hadi 35, sichagui rangi, dini wala kabila. Awe tayari kuishi Arusha
Umri ni wa mwanamkeWatoto ndo wana umri kuanzia 27 mpaka 35 au 😆
Nimecheka kama fallerWatoto ndo wana umri kuanzia 27 mpaka 35 au 😆
Umechaanganya hapo hajaweka koma, ila amemaanisha umri waa huyo Beki 3 uwe kuanzia miaka 27 hadi 35 ndio anaona anamfaa kumlelea watoto wake yaan yeye kashatimiza malengo ya kuzaa sasa hana mtu wa kumlelea watoto, mimi ningemshauri awapeleke tu kwa Bibi yaoWatoto ndo wana umri kuanzia 27 mpaka 35 au 😆
Nifundishe jinsi ya kuongeza watotoKuongeza mtoto mmoja ama wawili ni makubaliano yetu. Aliyeko serious aingie inbox. Mdada wa kazi ninae tayari.
Wapeleke hao watoto kwa Bibi yao usijitafutie matatizo mkuu, wachukue peleka kwa Mama yako akawalee hakuna namna tena ushamnyea kwenye kiganja hawezi kukikataUmri ni wa mwanamke
HapanaMaana yake unataka House Girl
Nlikua napiga Jobo hapa, nikaona mbona watoto teyari ni watu wazima. Kila lakheri mkuu subaibatUmechaanganya hapo hajaweka koma, ila amemaanisha umri waa huyo Beki 3 uwe kuanzia miaka 27 hadi 35 ndio anaona anamfaa kumlelea watoto wake yaan yeye kashatimiza malengo ya kuzaa sasa hana mtu wa kumlelea watoto, mimi ningemshauri awapeleke tu kwa Bibi yao
Angekuwepo ningefanya hivyoWapeleke hao watoto kwa Bibi yao usijitafutie matatizo mkuu, wachukue peleka kwa Mama yako akawalee hakuna namna tena ushamnyea kwenye kiganja hawezi kukikata
Mgeuze kuwa mkeKuongeza mtoto mmoja ama wawili ni makubaliano yetu. Aliyeko serious aingie inbox. Mdada wa kazi ninae tayari.
😂Kwahiyo hutaki kuoa ila unataka kulelewa watoto wako au sio?,.
Ajiri dada na shangazi zako kama huko kwenu house girls hawapatikani
Wakati wa kumwaga legeza makalioNifundishe jinsi ya kuongeza watoto