Mme Mwenza
JF-Expert Member
- Feb 6, 2025
- 1,894
- 2,420
NAUNGA HOJA HIIWapeleke hao watoto kwa Bibi yao usijitafutie matatizo mkuu, wachukue peleka kwa Mama yako akawalee hakuna namna tena ushamnyea kwenye kiganja hawezi kukikata
NAUNGA HOJA HIIWapeleke hao watoto kwa Bibi yao usijitafutie matatizo mkuu, wachukue peleka kwa Mama yako akawalee hakuna namna tena ushamnyea kwenye kiganja hawezi kukikata
Wapeleke kwa Shangazi au Mama zako wakubwa au wa Dogo usimpe mtu watoto wako akutunzie ikiwa humjui vizuri miaka 27/35 huyu mtu ana mambo mengi sana amepitia unaweza ukawa unawaweka watoto wako karibu na mchawi mmoja mmbobevu kua makiniAngekuwepo ningefanya hivyo
Ni wanawake wachache sana wanaoweza kuwalea watoto ambao si wao. Usikurupuke maana mwingine anaweza kuja kwa ajili ya kujisitiri yeye na sio kwa lengo lako la kuwalea watoto.Mdada wa kazi yupo @ Sasso, nahitaji mke
Beki 3 ulienae ana mapungufu gani?Mdada wa kazi yupo @ Sasso, nahitaji mke
Naunga hoja ya mdau hii hapaWapeleke kwa Shangazi au Mama zako wakubwa au wa Dogo usimpe mtu watoto wako akutunzie ikiwa humjui vizuri miaka 27/35 huyu mtu ana mambo mengi sana amepitia unaweza ukawa unawaweka watoto wako karibu na mchawi mmoja mmbobevu kua makini
😁😁😁Wakati wa kumwaga legeza makalio
Huyo huyo beki 3 alienae hapo anaweza kumfanya akawa mkewe kwani yeye ana mapungufu gani?Ni wanawake wachache sana wanaoweza kuwalea watoto ambao si wao. Usikurupuke maana mwingine anaweza kuja kwa ajili ya kujisitiri yeye na sio kwa lengo lako la kuwalea watoto.
Umechekelea unahisi km unamwagiwa mbegu vile
Weye umehisi nini?Umechekelea unahisi km unamwagiwa mbegu vile
Duh!Kuongeza mtoto mmoja ama wawili ni makubaliano yetu. Aliyeko serious aingie inbox. Mdada wa kazi ninae tayari.
Taratibu jamani😂Kwahiyo hutaki kuoa ila unataka kulelewa watoto wako au sio?,.
Ajiri dada na shangazi zako kama huko kwenu house girls hawapatikani
Nimehisi km umelowesha ChupiWeye umehisi nini?
Hahahahaha anataka Mwanamke umri kuanzia 27 mpaka 35.Watoto ndo wana umri kuanzia 27 mpaka 35 au 😆
Njoo getoni mremboWakati wa kumwaga legeza makalio