Natafuta mwanamke Mbeya mjini

Natafuta mwanamke Mbeya mjini

Mbeya bhana nilpata mwanamke juz kat hapo anapenda ngono balaa,ye ndio alkuwa ananisumbua sana mara ya kwanza now amepoa, juz kat hapo naongea na rafiki yake ananiambia yaani hapo shemeji ndio ushachezewa, rafiki yangu namjua, kashakutumia kakuacha. Nilichoka
😂😂😂😂😂
 
Mi ni mgeni huku, nimekuja kuanza maisha. Nahitaji mwanamke wa huku mbeya mjini kwa mahusiano endelevu.

Nimekuja huku JF coz mi sio mtembeaji sana wala muongeaji. Muda mwingi nipo ndani mwenyewe.

Awe sehemu za mbeya mjini, mi nipo pembeni kidogo ya mji.

Kama utakuwa interested nicheki kwa meseji inbox tujuane vizuri.

Ahsanteni.
Nenda mbeya pazuri, utakutana na marium taklee! Wakuoa huyoo mtu
 
Oya kaka dah nilijiskia vibaya kinoma yaani. Mwanamke ananiambia ah shemeji ushachezea we fanya mambo yako, alafu mwanamke nikimchek tunabonga fresh ila kuonana changamoto sasa hivi, sababu kibao. Najiona fala
Kapime maradhi mkuu, watu wa hivyo mission yao ni kusambaza maradhi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom