zakayoyoung
Senior Member
- Apr 9, 2019
- 140
- 38
Jamani natafta mwalimu wakunielekeza kutengeneza amplifier kwa kutumia IC aina ya TDA2030 natumainia hapa walimu wapo nisaidieni ase hata kwa malipo nipo tiyari
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app