Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,289
Mimi na wewe tena? si tutadanganyana tu, maana wote wanafunzi? Nimeongea na Mkuu mmoja hapa jamvini, Kasema tupo wengi kumbe. Tunataka kuanzisha thread kule jukwaa la lugha. Karibu.
ila mimi nimesoma principle za kufundisha lugha ya pili. Role ya mwanafunzi v/s mwanafunzi ni kubwa na yenye umuhimu wa aina yake mu-language learning...
C'moon!