Denis Alphonce
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 620
- 850
Mkubwa Aspirin lugha ni tatizo Kwa sisi walilimu wa kibongo lengo lako ni zuri sana ila Kwa tution unatakiwa upate mwalimu wa mathematics and English hayo masomo mawili ndo Yana maana Ili usimpe mzigo sana mtoto na Kwa kuwa anaesoma English medium unaweza ukatafuta mwalimu wa hesabu tuMaeelekezo ni kwamba mwalimu anayetakiwa awe anajua kiingereza vizuri. Sasa naona wewe tayari umeshakosa sifa....
Au nasema uongo ndugu zangu