Natafuta Mwalimu wa kumfundisha Mwanangu anayetarajia kuingia darasa la tano mwakani

Maeelekezo ni kwamba mwalimu anayetakiwa awe anajua kiingereza vizuri. Sasa naona wewe tayari umeshakosa sifa....

Au nasema uongo ndugu zangu
Mkubwa Aspirin lugha ni tatizo Kwa sisi walilimu wa kibongo lengo lako ni zuri sana ila Kwa tution unatakiwa upate mwalimu wa mathematics and English hayo masomo mawili ndo Yana maana Ili usimpe mzigo sana mtoto na Kwa kuwa anaesoma English medium unaweza ukatafuta mwalimu wa hesabu tu
 
Mkubwa Aspirin lugha ni tatizo Kwa sisi walilimu wa kibongo lengo lako ni zuri sana ila Kwa tution unatakiwa upate mwalimu wa mathematics and English hayo masomo mawili ndo Yana maana Ili usimpe mzigo sana mtoto na Kwa kuwa anaesoma English medium unaweza ukatafuta mwalimu wa hesabu tu
Sawa mkuu ndugu yangu...
 
Nawasalimu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu natafuta mwalimu mzuri aliyebobea katika ufundishaji kwaajili ya kumfundisha mwanangu ambaye mwakani anatarajia kuendelea darada la tano maana amemaliza kufanya Necta juzi tu hapa.


Kwa sasa dogo yupo tu nyumbani anacheki tu muvi na vikatuni + Kulfi. Hivyo basi nahitaji mwalimibwa kumkeep busy walau hata masaa matano.

Shida kubwa mtoto ni Hesabu.

Mahitaji yangu ni afundishwe kwa miezi hii miwili na wiki kadhaa mpaka pale matokeo ya darasa la nne yatakapotoka.


LOCATION:
Napatikana Dar es Salaam, Temeke.


LUGHA:
Mahitaji awe mwalimu anayejua kuzungumza kiingereza kwa ufasaha maana dogo tangu anaanza chekechea mpaka sasa anasoma English Medium tu.

MASOMO:
Mathematics, Civics and Moral Education, Vocational Skills, Social Studies, Science and Technology


MALIPO:
Kuhusu malipo karibuni PM.


Asanteni
Hizo ndio shughuli zangu mwaka wa 10 huu. Yaani sio tu napenda kufundisha watoto bali nawapenda sana na kwa sasa nipo kwenye harakati za kujichanga changa nifanye jambo kuu kwa ajili ya watoto hasa wakitanzania. Kwa jambo lako hili changamoto hapo ni umbali. Malipo ni kulingana na mzazi unavyoona ubora wa huduma itolewayo. Hakuna haja ya Kenya wala nini humu humu tupo tumejaa tele. Fluent and frequent English. Mathematics ndio kabisaa. Nchi kubwa sana hii.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom