Natafuta mume

Natafuta mume

Dah! pole sana dada lkn hebu fanya hivi kama una nauli nenda mjengoni si unajua ni kipindi cha bajeti kamuone mh wasira au mh capt komba ndoto yako itatimia bila wasiwasi ni ushauri tu mi ningekuinbox but im full occupied
 
Duuuuuh! nmecheka sana na unavyojibu wakuijiao tofauti, kila la heri dear
 
Jamani am tied of being with men ambao hawajui wanataka nini in life..I need a serious man..

Am 23,

Mhaya na ni mnene kidesign..

Shepu ya kihaya to be precise..

Ni mweusi na sio mrefu wala mfupi size ya kati.!

Imight not be educated kihvyo but am intelligent n know how to treat my man..

Kazi kwenu serious men..PM me..

kama upo serius pm me
 
Kwa kweli hijabu ni ugonjwa wangu kama hijabu ni yako hakika umenipata contact me niko mwanza
 
Biashara matangazo bibiye but just tel us how many men u need 2 satisfy your demand
 
Hiyo njia itakuwa poluted, inaonekana imetumika sana na haitamaniki tena.Mwanaume atakayekuoa lazima ajiandalie na mchepuko, bila hivyo hata kaa na wewe.
 
Jamani am tied of being with men ambao hawajui wanataka nini in life..I need a serious man..

Am 23,

Mhaya na ni mnene kidesign..

Shepu ya kihaya to be precise..

Ni mweusi na sio mrefu wala mfupi size ya kati.!

Imight not be educated kihvyo but am intelligent n know how to treat my man..

Kazi kwenu serious men..PM me..

0689605446
 
Hiyo njia itakuwa poluted, inaonekana imetumika sana na haitamaniki tena.Mwanaume atakayekuoa lazima ajiandalie na mchepuko, bila hivyo hata kaa na wewe.

ww si ndo ulioipolute..!ata nikitumika haiishi my dear.!ipo pale pale haiji usoni.!
 
Kama upo tayari tuwasiliane 0766755508 sitanii,,,

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
mimi leo ndio mara ya kwanza kufika jukwaa hili

niemvutiwa kusoma topic ya SALMA jay maana nimeona ina response kubwa sana

Kumbe kuna watu humu ustaarabu mdogo, majibu ya kejeli, matusi na kadhaliak bila sababu ya msingi. lengo la jukwaa hili ni kuwapa nafasi watu kama hawa kuongeza wigo wa kupata potential husbands, tusiwakatishe tamaa kwa maneno ya kejeli na provocation.

Mwenyewe kasema anayeona anafit aingie PM kiroho safey, sasa kejeli za nini? Mods sijui wako wapi wawafunze adabu watu wa aina hii

N.B nadeclare interest mimi nimeoa tayari.... all the best Salma

The basic test of freedom is perhaps less in what we are free to do than in what.Especially if it is repeated over and over but relax no need to call mod dickhead
 
Last edited by a moderator:
Huyu mdada hayuko sereous kabisa kwa maana kabla ya kurudi mara ya pili hapa jukwaani nili mpm akaanza michosho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom