Natafuta mume jamani mbona sipati

Natafuta mume jamani mbona sipati

Hao wanaume wa miaka 30 na kuendelea washakuwa wazee na wanafamilia zao na pia huku JF hawapo..tuliopo ni hot blood 27 kushuka chini ndo maana tunakupotezea...ushauri nenda RITA wakubadilishie cheti cha kuzaliwa kisha urudi kutafuta mwanaume kuanzia miaka 23 mpaka 27 uone kama hujaenda polisi kuomba ulinzi kuepika wanaume wanavyotiririka.....
Jf raha
 
Tatizo una masharti kama mganga wa kienyeji...ungekuwa ushapata ....punguza vigezo(mashariti)
 
Tatizo una masharti kama mganga wa kienyeji...ungekuwa ushapata ....punguza vigezo(mashariti)
Hata waganga wa kienyeji wamepunguza masharti siku hizi wanaagiza kuku wa kisasa, samaki hata matembele mwache atafute mwanaume mweupe na mcha mungu
 
Andika bango kama yule mzee tanga naamini utafanikiwa BINAFSI sijiwez naishi maseke natafuta wakunilea
 
enzi za mwalimu wanaume walikuwa wanatafuta wanawake enzi hizi wanawake wanatafuta wachumba!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom