Natafuta mume jamani mbona sipati

Natafuta mume jamani mbona sipati

Umeona digrii yako yA sheria hakuna Ajira umeamua kutafuta aliyeajiriwa
 
wapo wengi tu,,nunua gazet la risasi kesho,,kuna site pale wanaotafuta wachumba,vigezo na masharti hakuna
 
Marahaa hipati mme kivipi na wakati waume tumejaa hapa au ndio kutudharau?
 
Umesha onyesha ubaguzi tayari kumbe kuwa mvulivu pia vipi na wewe umeajiriwa
 
Awe mweupe au maji ya kunde
mrefu
alie ajiriwa au mfanya biashara
umri 30 kuendelea
awe mcha mungu mkristu
Minopo tayari Ila napenda na we we uwe bikra na uwe umeajiriwa serikalini na uwe unagari na Nyumba na Pesa nyingi bank
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom