Natafuta mume jamani mbona sipati

Natafuta mume jamani mbona sipati

Humu kuna wagongaji tu... wewe toa ofa tofauti uone.
 
Wewe wasema aliye ajiriwa, umeajiriwa na wewe au unabiashara inayokuingizia kipato?
 
Utapata tu, punguza vigezo na masharti. Maria alikuwa bikra aliolewa na mpasua mbao, je wewe ni bikra?...achana na mambo ya kuajiliwa ama biashara
 
Awe mweupe au maji ya kunde
mrefu
alie ajiriwa au mfanya biashara
umri 30 kuendelea
awe mcha mungu mkristu
***
:::Total disqualify / mweupe,mrefu,mfupi,mweusi / all these are nonsense../
:::sema:- msafi,mchamungu,mkristo,mwenye kipato halali.
 
Awe mweupe au maji ya kunde
mrefu
alie ajiriwa au mfanya biashara
umri 30 kuendelea
awe mcha mungu mkristu
Mbona hujaweka number za mawasiliano nitakupateje! Pia hujasema imani yako ip? Islam or Christian
 
Ushajiuliza mtu wa hivo yeye kama yeye anapenda sifa zipi? Utasubiri sana mamaa. Kama upo kwel unahitaj mume sema na Mungu, hajawahi kumuacha mwenye haki.
Nina mengi ya kukusaidia nitafute kwa 0745234216, nitakufundisha kitu muhim sana, FIKRA, biblia inasemaje kuhusu FIKRA? Kuna namna ya kujenga FIKRA na IMAN uone majawabu ya mambo kabla ya kutokea, na badae kwenye utimilifu wake.
 
Tatizo una masharti kama mganga wa kienyeji...ungekuwa ushapata ....punguza vigezo(mashariti)
Unanikumbusha muhaya mmoja aliomba lifti kwa jirani yake
Baada ya dakika chache mhaya akauliza jirani mbona unaenda haraka sana na hujafunga vioo, kweli gari lina mafuta ya kutosha??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom