Awe mweupe au maji ya kunde
mrefu
alie ajiriwa au mfanya biashara
umri 30 kuendelea
awe mcha mungu mkristu
Awe mweupe au maji ya kunde
mrefu
alie ajiriwa au mfanya biashara
umri 30 kuendelea
awe mcha mungu mkristu
SijatolewaMtafute aliyekutoa uschana wako
Asante kwa ushauriMazingira unayoishi kuanzia shuleni, chuoni, kazini na mitaani kwa ujumla ndio yatakufanya upate mume bora. Kuna kipindi ukikichezea basi tena huwezi kumpata aliye bora. Jiangalia kampani yako ikoje huko mitaani kwako, unamcha Mungu? Mavazi yako na tabia kwa ujumla ukoje? Una majivuno au kiburi? Umeshaachwa na wanamume wangapi na kwa sababu gani? Kama umeshachezea ujana wako umeshaomba toba ya kweli kwa Mungu wako na kutaka kufunguliwa?
Kunaugumu gan hapoDon't make ur self Expensive while your Guy is going to Be Cheap
Bado nnBado sana
Nataka mumeme nimeshaoa ila naweza kuwa mchepuko wako
Kabisaa ndo nimemwambia asiweke expensive wakat wanaume tuko simpleHumapti kwasababu bado uko kwenye stage ya kubagua wanaume. Ukiwa unahitaji ndoa kweli hutajali rangi yake. Endelea kusubiri maji ya kunde watakuja tu...
Halafu ni wale wale kila siku wao....Hivi nyie wanaume ambao kila uzi wa anayetafuta mume/mchumba mpo huwa 'hamfanikiwi?'
Miaka nenda rudi...
Nicheki umenipataAwe mweupe au maji ya kunde
mrefu
alie ajiriwa au mfanya biashara
umri 30 kuendelea
awe mcha mungu mkristu