Natafuta mume jamani mbona sipati

Natafuta mume jamani mbona sipati

Hivi nyie wanaume ambao kila uzi wa anayetafuta mume/mchumba mpo huwa 'hamfanikiwi?'
Miaka nenda rudi...
Ole wako mkuu,siku ukija hapa kutafuta mume huo uzi wako tutaubadilisha kuwa ubuyu!
 
We una miaka mingapi.. Waliotangulia walishindwaje kukuoa,? Weka sifa zako na weakness zako hapa... Sio wewe ujichagulie na muoaji naye anataka kujua ya kwako kwakua kila mtu ana ndoto zake.... Kwakua sio bidhaa adimu kwamba mtu atakuja kukubali kwakua wewe unataka.
 
Hivi nyie wanaume ambao kila uzi wa anayetafuta mume/mchumba mpo huwa 'hamfanikiwi?'
Miaka nenda rudi...
Sisi wengine tuna nafasi nne, pia tunaruhusiwa kuacha ikibidi, so usitushangae, inawezeka hatujajaza nafasi au tumeacha tunataka kureplace
 
Sifa zote ulizotaja hapo niko nazo,
Ila habari ya kuhusu saizi ya dushe hujasema, au unataka mwanamme wa maonyesho? Bila kujali anakuridhisha au la!
 
Ukiona hupat pngza vgezo, mchagua jembe Si mkulima...!!
 
Hao wanaume wa miaka 30 na kuendelea washakuwa wazee na wanafamilia zao na pia huku JF hawapo..tuliopo ni hot blood 27 kushuka chini ndo maana tunakupotezea...ushauri nenda RITA wakubadilishie cheti cha kuzaliwa kisha urudi kutafuta mwanaume kuanzia miaka 23 mpaka 27 uone kama hujaenda polisi kuomba ulinzi kuepika wanaume wanavyotiririka.....
 
Usijali mm ninahitaji kama lako nitafute tuongee huna watoto kama wapo kuwa muwazi kwa hilo tuyajenge mambo yawe sawa karibu sana ingia fb utakutana na contact tutaongea vema
 
Ila Mileage ni tatizo kubwa sana!
 
Too much selective alafu unalalamika hupati mume, are you seriously ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom