kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
wewe ni mama samweli wa songea?una umri gani?
sasa makalio nayo ni asset ya kutangaza kutafuta mume siku hizi?
me nimejieleza nilivyo na ndo nilivo am very open so kama umekwazika na kauli yangu basi nisamahe
Wala hajakosea,alikua anaeleza shape yake ilivyo so kama umevutiwa na hy nenda PM
Na wewe shepu yako ikoje?
Subiri tangazo langu la kutafuta mme coming soon
NitakuPM ili upate hy exclusive privilegemimi nilitaka unipe kabla ya tangazo
unipe privilege
Hy Picha ukaombe PM huko,msitake kudhalilisha watu,mi mnaniudhi sana.Sasa unataka aweke picha then muanze kumgombea au.Kajieleze huko PM kama unafit vigezo utatumiwa pichaweka picha yako basi. hata mm nina uhitaji huo. Godbless U.
Kawaida tu, maisha yanabadilika na watu wanazidi kuwa open...ndo mabadiliko ya tabia watu....
sijakwazika usijali
Kumbe wanaume siku izi ni dili ivi ? duh! Utapata jipe moyo yupo njiani anakuja
Tutakutana kwenye mchujo wa GPA! Interview ni lini? Dead line of application ni lini?