mimi si wa songea ndugu yangu mambo mengine just pm me.wewe ni mama samweli wa songea?una umri gani?
mi meshawishika...natamani tufahamiane sasa.....kama vp hebu nenda kwa fb, tafuta mtu mwenye jina hili, boniface rose afu muadd then hapo tunaanzia
Hatari sana yaani first appearance jf tayari unatafuta bwana, halafu mpaka unafikia kusoma masters hunamtu ambae anaweza kuwa mmeo mpaka leo significantly we utakua unashida kiasi kwamba umekua unakimbiwa na wanaume wote waliotangulia, umejitadescribe kuwa unatabia nzuri bt m worried wats wrong wit yu pamoja na uzuri huo bado tu haujapendeka mpaka kaolewa, may bado haujafunguka zaidi kuhusu weakness zako ungetujuza ingekua poa pia
Mi ninavyo vyote kasoro kimoja so i guess si qualifyHabari jaman,
mimi ni mwanamke mkubwa kiasi na nitafuta rafiki ambae baadae atakuwa mume ili tuweze kuishi pamoja katika dunia hii ambayo kwakweli inahitaji sana kusaidiana.wasifu wangu ni kama ifuatavyo:
1.mimi nampenda Mungu
2.nina heshima na mwenye upendo kwa watu.
3.napenda sana watoto
4.sijawah kuolewa na wala sina mtoto
5.elimu yangu ni masters(ndo naimalizia hivi sasa)
6.nina makalio lakini si makubwa sana.
5.ni mweusi(black beuty-yaan sijawahi tumia mkorogo)
6.pia ni mchapa kazi sana na mwenye kujituma
7.ni mnene kiasi
Mume nimtakae tafadhali sana naomba awe na sifa zifuatazo;
1.awe anampenda Mungu na pia kumtumikia Mungu
2.mwenye upendo wa kweli na mkweli
3.umri kuanzia miaka 35-40
4.elimu yake awe at least na first degree
5.awe anafanya kazi
6.awe tayari kupima HIV
Kwakweli nakaribisha maombi kutoka kwa watu wote please msinikejeli bali mnipatie ushauri maana ninyi ni wenyeji humu jamvini.asanteni sana.
Kuna sifa za muhimu hujazitaja mfano umri wako, dini yangu, unaishi wapi na umtafutaye unataka awe wapi? by the way iyo sifa yako ya mchapa kazi na unajituma imenivutia sana, najua kila sehemu ni mchapa kazi na kujituma sio ofisini tu! Toa ufafanuzi huu ili tujipime kabla hatuja PM
Wanaume wa ukweli ndio deal sio kila aliyevaa suruali
mi meshawishika...natamani tufahamiane sasa.....kama vp hebu nenda kwa fb, tafuta mtu mwenye jina hili, boniface rose afu muadd then hapo tunaanzia
sasa makalio nayo ni asset ya kutangaza kutafuta mume siku hizi?
Umesisitiza kumpenda Mungu, unampenda Mungu, unataka mpenda Mungu...
Well, mume bora anatoka kwa Bwana, ndio underlying message wanayopeana wapenda Mungu wanaohitaji mabwana. Kwa hiyo, by that premise, inabidi ukae kitako usubiri Mungu akupe Bwana, hutakiwi kuzururazurura unatafuta Bwana, hutakiwi hata kusali, manake yeye si anajua kila kitu, anajua unahitaji Bwana, na anawapenda waja wake wote, hataki wahangaike kama makahaba eti wanatafuta mabwana. Hizo ndio fundamental pillars za nadharia za Mungu.
Lakini siku unapomuhitaji Mungu he goes m.i.a, anazima simu! Why? Anakuacha unatafuta mabwana usiowajua mitandaoni. Kwa nini asikutoke mlimani akuonyeshe maono ya kwamba mfate bwana fulani na ukifika tu na yeye anakupokea kwa mabusu bila hata longolongo nyingi, "love at first site"! Ndio maana hizi hypothesis za Mungu sizikubali, hazi make sense, kwa hiyo in principle mi si qualify kwenye hiyo nafasi ya kazi uliyotangaza, I over-qualify kwa saab ningeweza ku introduce tremendous dimensions of reasoning in your life.
Habari jaman,
mimi ni mwanamke mkubwa kiasi na nitafuta rafiki ambae baadae atakuwa
mume ili tuweze kuishi pamoja katika dunia hii ambayo kwakweli inahitaji
sana kusaidiana.wasifu wangu ni kama ifuatavyo:
1.mimi nampenda Mungu
2.nina heshima na mwenye upendo kwa watu.
3.napenda sana watoto
4.sijawah kuolewa na wala sina mtoto
5.elimu yangu ni masters(ndo naimalizia hivi sasa)
6.nina makalio lakini si makubwa sana.
5.ni mweusi(black beuty-yaan sijawahi tumia mkorogo)
6.pia ni mchapa kazi sana na mwenye kujituma
7.ni mnene kiasi
Mume nimtakae tafadhali sana naomba awe na sifa zifuatazo;
1.awe anampenda Mungu na pia kumtumikia Mungu
2.mwenye upendo wa kweli na mkweli
3.umri kuanzia miaka 35-40
4.elimu yake awe at least na first degree
5.awe anafanya kazi
6.awe tayari kupima HIV
Kwakweli nakaribisha maombi kutoka kwa watu wote please msinikejeli bali
mnipatie ushauri maana ninyi ni wenyeji humu jamvini.asanteni
sana.