Bata Boy Official
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 259
- 308
Habari wakuu
Mimi ni designer wa UI&UX za mobile Apps...sasa kuna mambo mawili ambayo yamefanya nije jukwaani kutafuta mtu wa marketing.
1) Wanunuzi wa designs zangu.
Kama ambavyo producer huwa anatengeneza beat kisha msanii akiskiliza akapenda akamuuzia beat hiyo au kuingia studio kurekodi. Vivyo hivyo nami pia kila nikipata ideas mbalimbali (za Application) huwa nazitengenezea UI&UX na kisha clickable-prototype zake kwa ujumla.
NB:
Lakini pia naweza kukutengenezea design ya idea yako yoyote ili upate picha ya muonekano na utendaji kazi wa Application yako kabla haijatengenezwa(developed/programmed) kitu ambacho kitakusaidia vitu vingi sana ikiwa ni pamoja na kujua APP yako itakuwa na functionalities nyingi/chache kiasi gani? ambacho ndo kitu kikubwa kinachoamua bei ya matengenezo ya App yako iwe juu,kati au chini. Pasipo kujua hili mapema unaweza jikuta unapigwa.
2) Wawekezaji/wadhamini
Sio kila design ninayotengeneza nataka kuiuza nyingine nataka kuifanyia kazi iwe mali yangu kwa asilimia kadhaa na asilimia nyingine achukue mwekezaji.
Hitimisho;
Kwahiyo kutokana na hizo sababu kuu mbili nahitaji sana fundi wa marketing, maana nimejaribu kufanya mwenyewe,....ndipo nikagundua kila mtu ana kitu chake....mimi nipo vizuri kwenye kudesign Apps lakini likija suala la marketing hamna kituu.
Mtu ninayemtafuta;
JINSIA: yoyote
UKOMO WA ELIMU: wowote ule hata kama ni ngazi ya cheti ili miradi awe anajiamini kuwa ni fundi inapokuja kwenye kucheza na clients/customers/sponsors/investors nk
MAHALI ANAPOPATIKANA: kama akiwa dar es salaam itakuwa nzuri zaidi.
MALIPO: Tutalipana kwa kila deal itakayofanikiwa (mfano akiweza kufanikisha kuuzwa kwa design moja then kutakuwa na asilimia yake)
Kwahiyo kama wewe unajua ni aina ya mtu ninayemtafuta tafadhali usisite kuja PM tuyajenge.
"Dare to do"
Mimi ni designer wa UI&UX za mobile Apps...sasa kuna mambo mawili ambayo yamefanya nije jukwaani kutafuta mtu wa marketing.
1) Wanunuzi wa designs zangu.
Kama ambavyo producer huwa anatengeneza beat kisha msanii akiskiliza akapenda akamuuzia beat hiyo au kuingia studio kurekodi. Vivyo hivyo nami pia kila nikipata ideas mbalimbali (za Application) huwa nazitengenezea UI&UX na kisha clickable-prototype zake kwa ujumla.
NB:
Lakini pia naweza kukutengenezea design ya idea yako yoyote ili upate picha ya muonekano na utendaji kazi wa Application yako kabla haijatengenezwa(developed/programmed) kitu ambacho kitakusaidia vitu vingi sana ikiwa ni pamoja na kujua APP yako itakuwa na functionalities nyingi/chache kiasi gani? ambacho ndo kitu kikubwa kinachoamua bei ya matengenezo ya App yako iwe juu,kati au chini. Pasipo kujua hili mapema unaweza jikuta unapigwa.
2) Wawekezaji/wadhamini
Sio kila design ninayotengeneza nataka kuiuza nyingine nataka kuifanyia kazi iwe mali yangu kwa asilimia kadhaa na asilimia nyingine achukue mwekezaji.
Hitimisho;
Kwahiyo kutokana na hizo sababu kuu mbili nahitaji sana fundi wa marketing, maana nimejaribu kufanya mwenyewe,....ndipo nikagundua kila mtu ana kitu chake....mimi nipo vizuri kwenye kudesign Apps lakini likija suala la marketing hamna kituu.
Mtu ninayemtafuta;
JINSIA: yoyote
UKOMO WA ELIMU: wowote ule hata kama ni ngazi ya cheti ili miradi awe anajiamini kuwa ni fundi inapokuja kwenye kucheza na clients/customers/sponsors/investors nk
MAHALI ANAPOPATIKANA: kama akiwa dar es salaam itakuwa nzuri zaidi.
MALIPO: Tutalipana kwa kila deal itakayofanikiwa (mfano akiweza kufanikisha kuuzwa kwa design moja then kutakuwa na asilimia yake)
Kwahiyo kama wewe unajua ni aina ya mtu ninayemtafuta tafadhali usisite kuja PM tuyajenge.
"Dare to do"