Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,866
Kama habari inavyojieleza natafuta Mke wa kuoa, nimekuwa busy na kazi nakosa muda wa ku-mingle na kutongoza, na wengi ninaokutana nao wanawapenzi wao na wengine wameolewa. Sasa mimi nataka wa kwangu peke angu. Pia mimi ni miongoni mwa watu nisiopenda complications za kutongoza, wale wa sijui sitaki nataka, mara umeomba namba mtu anakuuliza ya kazi gani, mara umetoa wapi namba yangu wakati kakupatia yeye, mara sijui tuma kwanza na ya kutolea, na kadhia zingine tunazokutana nazo wakati wa kutongoza. Unakuta mdada badala ya kukunyooshea maelezo kuwa nina mtu, sikutaki, au nakutaka pia, unakuta mdada anakuzungusha, hupo naye lakini mlivyokaa na kama kila mtu anaweka mguu mmoja ndani mwingine nje.
Sasa mimi nataka wa kuoa kabisa, sasa humu ndani kama wewe ni mdada hujaolewa weka post yako, au kama ni Mkaka una Dada yako hajaolewa weka picha yake hapa tuone maana nataka kupata mke, pia mabechela wengi pia watachagua Pisi zao.
Sasa mimi nataka wa kuoa kabisa, sasa humu ndani kama wewe ni mdada hujaolewa weka post yako, au kama ni Mkaka una Dada yako hajaolewa weka picha yake hapa tuone maana nataka kupata mke, pia mabechela wengi pia watachagua Pisi zao.