Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,019
- 132,759
Hapo ulipo uskute umerogwa.....maana hiyo ya kuomba urogwe siyo ya kawaida unless umerogwa
Nilikutana na padri mmoja aliyekuwa anafanya utafiti kwa ajili Phd yake.
Anasema alizunguka kwa waganga wote maarufu nchini, mpaka nchi za jirani kujalibu kupata taafa zake ila kati ya mambo ambayo alisema hayapo ni "UCHAWI". Anasema kuna sumu, na mazingaombwe lakini uchawa kama ule wa kudai mtu kuruka na ungo ni uongo na kwamba hakuna anayeweza.
Ni mchango wangu tu.
Wapowaliokuwa fake hilo tutalianzishia thread na nitakuja na evidence, sio wote waniitao bwana bwana wataingia ufalme wa Mungu, pia siku za mwisho zikifika utasikia niko huku niko kule msiwasikilize......
Hilo la watoto naomba mliache kwa sasa. Siko kuelezea maisha yangu binafsi naulizia uchawi. Kuna member wanaonijua uhalisia wangu na hao watoto kwa mfano Bujibuji na @aspirin. Nikielezea nilivyopata hawa watoto itakuwa thread maisha yangu ni muujiza tosha kaka.
mkuu hizo hazina nguvu.. hats jk hazijumdhuru
Heheheee asharogwa tayari yeye hajajua tu, kama sio kurogwa ninini! Watoto 6 miaka 28 tena mtafiti!!.
Tafuta mwanamke wa uswahilini, muonyeshe kama una gari nyumba na mali. Anzisha mahusiano
kisha utakuja kusema mwenyewe kama kurogwa kuko
Msinitishe kwenye PM kama wewe unaamini kuna uchawi na unaweza kuniloga go ahead do it....
acha kunitisha kumbuka nimekaa na wachawi.haswa wanaosifiki kwa matukio makubwa lakini hawakuniweza. Uchawi ni woga na imani yako. Watanzania tulivyo na fitina sitingewaloga mafisadi basi. Kwenye vyama vya siasa si ndio mngetunguana kama ndege? kuna sumu sio uchawi