Kila la kheri kwake
Kamkatie miti...Kila la kheri kwake
Mbona ule mti pale st.peter oysterbay wanapojenga mwendokasi haukatwi?Zanzibar ukiukata mbuyu bila ya kibali unashtakiwa
Kwaio nakushauri kaulizie kwanza isije kua na huko bara ni ivo ivo
Ili nigundue nini???Kamkatie miti...