Natafuta mtoto mbichi umu

Natafuta mtoto mbichi umu

Natanguliza salam zang kwenu wana JF..nataka mtoto mbichi haswa niende nae Dubai nikale nae bata nimepata vijisent vyangu vya miradhi natafuta mtu wa kwenda kuvilamba nae anaeitaji ani PM tu ni baada ya mwaka mpya tunaanza safari
mmh sijui kama utapata maana naona kama wote humu ndani WAMEIVA...!
 
Wabich bado humu hawajafika.jaribu kule fb waweza bahatisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom