Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 9,007
- 11,896
- Thread starter
- #21
Ahsante sanaKaribu nikusaidie
Ahsante sanaKaribu nikusaidie
Unaweza hata kuandika kwa uchacheKaribu nikusaidie
Hapa mbona watu wapoNenda ttcl watakujibu vizuri tu.
Wapo Ila Kama wanakuzungusha, wapo Sana Kuna mmoja yupo humu rafiki yangu Ila sijui kama atakujibu.Hapa mbona watu wapo
Si walidai tuwawekee mada nzima. Ndio hiyo sasa.Wapo Ila Kama wanakuzungusha, wapo Sana Kuna mmoja yupo humu rafiki yangu Ila sijui kama atakujibu.
Nilipoamua kuandika uzi mfupi ili tumalizane PM, kuna vijana walijidai ujuaji wakaanza kunisiliba. Nikaamua kukamilisha uzi sasa 😃😃😃😃😃wanamyuti.Ngoja wataalam waje kukupa muongozo.
Nakushauri Tafuta mtaalamu aliye somea principle of modern communication,atakusaidia sana.Habari wakuu,
Natafuta mtalaam wa telecomunication.
Kama yupo hapa naomba ajitokeze hadharani.
Kuna rafiki yangu kaniuliza maswala nyeti sana nimeshindwa kumjibu kiufasaha.
Mimi sijui chochote kuhusu telecomunication naomba kuwasilisha maswali yenyewe.
1. Nahitaji kufahamu mfumo mzima wa mawasiliano Tanzania. Mawasiliano ya aina zote.
2. Ni vitu gani vinawezesha mawasiliano kutokea mtu mmoja hadi mwingine au TV a Radio.
3. Ni makampuni gani yanayojenga miundombinu ya mawasiliano Tanzania.
4. Miundombinu ya mawasiliano inatumia principle ipi kufanya kazi.
5. Nahitaji kuelewa zaidi principle iliyopo kwenye minara na satelite katika nyanja nzima ya mawasiliano.
6. Nahitaji kufahamu zaidi devices zote zinazowekwa kwenye mfumo unaowezesha mawasiliano kuwepo.
7. Ni makampuni gani yanauza devices zinazowekwa kwenye mfumo wa mawasiliano.
8. Kuna vitu vinaitwa optical fibres, ni vitu gani na vinatofautiana vipi na vifaa vingine vya masawasiliano.
9. Nahitaji kueleweshwa zaidi mfumo wa wireless na non-wireless. Ni devices zipi zinawezesha mfumo wa wireless.
10. Na mwisho kabisa ni mawimbi (wave) gani ambayo yanawezesha mawasiliano ya simu na data. Na ni yepi yanawezesha radio na TV.
11. Nahitaji pia kueleweshwa zaidi kuhusiana na mfumo mzima wa network (H+, 2G, 3G, 4G, 5G)
Shukrani mkuuNakushauri Tafuta mtaalamu aliye somea principle of modern communication,atakusaidia sana.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Huu NI mtegoHabari wakuu,
Natafuta mtalaam wa telecomunication.
Kama yupo hapa naomba ajitokeze hadharani.
Kuna rafiki yangu kaniuliza maswala nyeti sana nimeshindwa kumjibu kiufasaha.
Mimi sijui chochote kuhusu telecomunication naomba kuwasilisha maswali yenyewe.
1. Nahitaji kufahamu mfumo mzima wa mawasiliano Tanzania. Mawasiliano ya aina zote.
2. Ni vitu gani vinawezesha mawasiliano kutokea mtu mmoja hadi mwingine au TV a Radio.
3. Ni makampuni gani yanayojenga miundombinu ya mawasiliano Tanzania.
4. Miundombinu ya mawasiliano inatumia principle ipi kufanya kazi.
5. Nahitaji kuelewa zaidi principle iliyopo kwenye minara na satelite katika nyanja nzima ya mawasiliano.
6. Nahitaji kufahamu zaidi devices zote zinazowekwa kwenye mfumo unaowezesha mawasiliano kuwepo.
7. Ni makampuni gani yanauza devices zinazowekwa kwenye mfumo wa mawasiliano.
8. Kuna vitu vinaitwa optical fibres, ni vitu gani na vinatofautiana vipi na vifaa vingine vya masawasiliano.
9. Nahitaji kueleweshwa zaidi mfumo wa wireless na non-wireless. Ni devices zipi zinawezesha mfumo wa wireless.
10. Na mwisho kabisa ni mawimbi (wave) gani ambayo yanawezesha mawasiliano ya simu na data. Na ni yepi yanawezesha radio na TV.
11. Nahitaji pia kueleweshwa zaidi kuhusiana na mfumo mzima wa network (H+, 2G, 3G, 4G, 5G)
Hamna Ku Google kitu apo, kila kitu kiko waziMengi hapo ungeweza kugoogle na majibu ungepata ila kama unahitaji kufundishwa ninakaknowledge changu kadogo kutoka chuo bora cha ufundi kaskazini mwa Tanzania naweza kushare na wewe.
Mtego kivipi tena.Huu NI mtego
Unashindwaje kujibu maswali ya kawaida kabisa hayoMtego kivipi tena.
Sijasomea mambo hayo.Unashindwaje kujibu maswali ya kawaida kabisa hayo
Njoo na afu tatuNaomba unisaidie namna ya kupata GB za bure za Vodacom na Tigo na Airtel.
Kwanini bossugaidi huu