Natafuta mwenyeji hapa Beni Congo

Natafuta mwenyeji hapa Beni Congo

HaMachiach

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
3,450
Reaction score
6,211
Habari za usiku wakuu

Natafuta mwenyeji hapa Beni Congo nilitoka Tanzania wiki mbili zilizopita kupitia Julius Nyerere International airport hadi kampala nitakaa Kampala hotel ya 5 star kwa siku mbili then nikachukua basi Kampala kuja Beni japo nilikuta mpaka imefungwa ila nilipita sasa Niko hapa beni nmechoka.

IMG-20260530-WA0024.jpeg
PXL_20260529_201834258.NIGHT.jpg
IMG-20260601-WA0039.jpeg
 

Attachments

  • PXL_20260529_181957232.MP.jpg
    PXL_20260529_181957232.MP.jpg
    684.9 KB · Views: 7
Tafuta mwanamwali wa kikongo ukanyage acha kupiga mayowe
 
Back
Top Bottom