mambo_safi
Senior Member
- Jul 22, 2019
- 147
- 392
Awe bado ni binti ambaye hana mambo mengi na ni Mkristo! Kama atakuwa kamaliza kidato cha nne itapendeza zaidi! Ndio nasema kidato cha nne kwasababu wengi unakuta wako nyumbani hawana issue mwisho wa siku wanaenda kuuza Baa au kudanga wapate hela ya kula.
Kazi kuu itakuwa kuuza dukani! Akiamka asubuhi saa 11 na kuweka nyumba katika hali ya usafi, anaenda kuuza dukani mpaka saa 3 usiku! Duka liko hapo nyumbani ila limejitenga na nyumba. Mshahara laki moja! Ukiwa interested njoo PM! Usidanganywe na avatar yangu mimi ni 'me'
Kazi kuu itakuwa kuuza dukani! Akiamka asubuhi saa 11 na kuweka nyumba katika hali ya usafi, anaenda kuuza dukani mpaka saa 3 usiku! Duka liko hapo nyumbani ila limejitenga na nyumba. Mshahara laki moja! Ukiwa interested njoo PM! Usidanganywe na avatar yangu mimi ni 'me'