Mimi ni binti wa miaka 22, natafuta kazi nipo mkoa wa Iringa

Aug 14, 2020
30
47
Mimi ni Binti wa miaka 22 natafuta kazi nipo mkoa wa Iringa.
Nina elimu ya kidato cha nne na cheti cha Veta cha secretary pamoja na cheti cha JKT.
Nje ya nilichosomea nipo tayari kuuza duka hata sheli supermarket n.k vinavyofanana na hivyo asanteni.
Kama kazi itapatikana mkoa tofauti na Iringa nipo tayari pia kama nitaweza kukidhi.

Asanteni
 
Mimi ni Binti WA miaka 22 natafuta kazi nipo mkoa wa Iringa .
Nina elimu ya kidato cha nne na cheti cha veta cha secretary pamoja na cheti cha jkt
Nje ya nilichosomea nipo tayar kuuza duka hata sheli supermarket n.k vinavyofanana na hvyo asanteni.
Kama kazi itapatikana mkoa tofauti na Iringa nipo tayari pia kama nitaweza kukidhi
Asanteni
Nakuombea Rosedory Charles
 
Yaani kwakuwa mdada ndio mnamshobokea, heri kumsaidia mwanaume mwenzangu aisee.
Mwanamke asaidiwe na mwanamke mwenzake, akisaidiwa na mwanaume anaona ni haki yake na mwisho wa siku atakuona una shobo.
Mwanamke hana cha kumpa mwanaune zaidi ya sehemu zake za siri ambazo Tandika unaweza kuzipata hata kwa buku.
Hakuna mwanaume aliyemsaidia mwanamke baadaye asijutie uamuzi wake.
 
Yaani kwakuwa mdada ndio mnamshobokea, heri kumsaidia mwanaume mwenzangu aisee.
Mwanamke asaidiwe na mwanamke mwenzake, akisaidiwa na mwanaume anaona ni haki yake na mwisho wa siku atakuona una shobo.
Mwanamke hana cha kumpa mwanamke zaidi ya sehemu zake za siri ambazo Tandika unaweza kuzipata hata kwa buku.
Hakuna mwanaume aliyemsaidia mwanamke baadaye asijutie uamuzi wake.
Ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom