Kacharimbe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 216
- 35
Nimeandikiwa na daktari dawa fulani ya kuchua mgongoni. Napata shida jinsi ya kupaka dawa hiyo hivyo nahitaji mtu wa part time kwa ajili ya kunichua TU asubuhi na jioni
Posho: 10,000 kwa siku
Usafiri juu yangu
Ukitaka nije kwako pia naweza
Njoo PM
Niko Dodoma
Posho: 10,000 kwa siku
Usafiri juu yangu
Ukitaka nije kwako pia naweza
Njoo PM
Niko Dodoma
