Bank watakupa pesa nzuri kutokana na ubora ya gari yako na wala hawachukui gari wanachukua card ya gani, na deni utakua unalipa laki 5 kwa mwezi, ebu nikulize kitu vp utampa mtu gari humfahau kisa mil5 iyo gari ni yako lakini? kama yako gari inadhamini ya mil ngapi? why usiuze ukamaliziana na mnunuzi kuliko kumpa akitoroka nayo? mmm! mwenzangu hapo kuna walaaakini...Wadau,
Natafuta mtu wa kunisaidia 5mil.
Nitarudisha 6mil afta 2months
Dhamana naweka kadi ya gari pamoja na gari yenyewe