Emhyr var Emreis
Member
- Apr 14, 2023
- 7
- 0
Habari wakuu.
Kama mjuavyo shida haibishi hodi. Nimepata dharura na nahitaji mkopo wa shilingi laki 4 (400,000 tshs).
Nitarudisha baada ya siku 30 kwa riba ya 20%. Dhamana ni laptop yangu. Naishi Dar es Salaam.
Kwa yeyote mwenye uwezo huo au anayefahamu taasisi inayotoa huduma kama hizo anaweza kunisaidia.
Nawasilisha.
Kama mjuavyo shida haibishi hodi. Nimepata dharura na nahitaji mkopo wa shilingi laki 4 (400,000 tshs).
Nitarudisha baada ya siku 30 kwa riba ya 20%. Dhamana ni laptop yangu. Naishi Dar es Salaam.
Kwa yeyote mwenye uwezo huo au anayefahamu taasisi inayotoa huduma kama hizo anaweza kunisaidia.
Nawasilisha.