Natafuta mke wa mtandaoni

Na mimi nataka uongo huohuo
 
Haswaa!

Ni kusifiana hadi watu waone wivi, ila hakuna kujuana kabisa
 
Sasa ili yanoge. Gharamikia kidogoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nunua vifurush unavyohitaj kwa shemej yangu Lamomy .

Upate mahaba hadi ukinai.
Ayee masuala ya kumlipia mtu, ndio yatapelekea kufahamiana kitu ambacho sihitaji kufahamika mimi ni nani?
 
Kama utakuwa unatuma pesa mtandaoni nipo hapa mkuu, my husband to be
 
Mzee mwenzangu nitafutie mzee aliyeng'oka meno anayeweza kufurahia penzi la mtandaoni
Lengo la kutaka aliyeng'oka meno ni kutaka kuinjoi BlowKazi ama nini?

Wapo mabinti wa 90 mwishoni kuja 2000, hiyo kazi wanaijua hadi kupitiliza

Ndiyo maana huwa nasisitiza gari bovu huvutwa na nzima 😜
 
Au umeanza kuwa depressed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…