Natafuta mke seriously awe Dar

Natafuta mke seriously awe Dar

Wapi mkuu?
Kuna mshua mmoja mzee wa kutuma salamu maredioni wa kuitwa Manase mitaa ya Lumumba(amefariki) huyu mshua alikuwa hajui kusoma wala kuandika lkn akianza kukusimulia hbar za kimataifa unaweza kusema anazingua akikuambia hajasoma hasa kuhusu USA na Korea akifika kwenye kuutqja huu mji mkuu wa Korea mbavu nilikuwa sina, Ana Mwanae alikuwa anasoma kibaha huko siku katimbq skuli Kanyoa kiduku km cha Ronaldo delima walimu wakamrudisha aje na mzazi, mshua anatimba nae Kanyoa km mwanae
 
Nenda bar za Tabata au Sinza utapata mke aliyechoka.
Utajua ulimtoa bar na haitakusumbua, kuliko kupata muongo aliyejifanya mwema.

Bora kumfuga chui ukijua ni chui, kuliko kumfuga simba aliyejivika ukondoo.
 
We falah mbona hujaweka offer yako sasa?? 😹
 
Humu ndio mwakutaftia mke?
Unatafuta U T I na utaipata Ile konky.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom