aiseee...kwani huyu jamaa hana kazi ya kufanya hadi leo at 45? ebu akuje atujibu
dada Viva, changamkia fursa hiyo
ai..mi naona inipite tu
hahahaa mkuu chukua fursa hiyo, neema itawatembela baadae mbele ya safari. naamini wewe ni wife-material utakomaa na baba etu huyo kwa shida zote, na kwa raha zote kama zitatokea. teh teh teh
hahahaaa kazeeka age sanaaa, sitaki shida mimiiii
Jamani kina dada/mama,mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 42,NAITAJI MKE lakini jamani sina ajira/kazi yoyote ile,yule mwanamke ambae atarizia na atakaekubaliana na hali hii tafadhali naomba tuwasiliane kwa email address ifuatayo mnyella@ovi.com
hahahaaa kazeeka age sanaaa, sitaki shida mimiiii
nipo kijana mwenzio njoo nkupe somo
mwambie bwana halafu anataka kuoa,sijui watakula mawe?