Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
mume eti..ha ha!! kweli unawaangusha wanaume wenzio, hata soni huna!!
Huenda ni ajira tu imegoma mambo mengine muhimu kwa maisha ya binadamu amekamilisha na isitoshe huenda alishafanya kazi kipindi cha nyuma hivyo mafao yake yapo NSSF yamezuiliwa na SSRA muda si mrefu atakua njema kama marekebisho ya sheria ya fao la kujitoa ikifanyika vinginevyo bado kidogo afike miaka 55 hivyo mke avumilie