Habarini mimi ni mgeni humu.
Nimetokea kuupenda huu mtandao
Nina miaka selasini (30) natafuta msichana wa kuwa naye niko serious. Vigezo vyangu ni hivi 👇🏾
MUONEKANO: mrefu wastani, handsome kiasi sio sana, sina uhuni ni mstalabu
Kabila: Mmeru
Umri: 30
Dini: Mkiristo
Elimu: La 7
Kazi: Kubeba tofari/Saidia fundi/ulinzi
MAkazi: Darisalam
Vigezo vya Mwanamke/msichana nayemtaka:
1.Umri kuanzia miaka 17-45
2. Elimu yoyote
3. Dini yoyote sibagui.
4. Kazi hata asipokua na kazi ni sawa
5. Mtoto akiwa naye awe mmoja tu
6. Rangi yoyote, awe na shepu kiasi au zaidi, sura sio lazima
7. Awe Darisalam au awe tayari kuishi Dar
Karibuni kama kuna mtu ana ndugu yake au dada yake basi unaweza kucheza kama agent.
Nimetokea kuupenda huu mtandao
Nina miaka selasini (30) natafuta msichana wa kuwa naye niko serious. Vigezo vyangu ni hivi 👇🏾
MUONEKANO: mrefu wastani, handsome kiasi sio sana, sina uhuni ni mstalabu
Kabila: Mmeru
Umri: 30
Dini: Mkiristo
Elimu: La 7
Kazi: Kubeba tofari/Saidia fundi/ulinzi
MAkazi: Darisalam
Vigezo vya Mwanamke/msichana nayemtaka:
1.Umri kuanzia miaka 17-45
2. Elimu yoyote
3. Dini yoyote sibagui.
4. Kazi hata asipokua na kazi ni sawa
5. Mtoto akiwa naye awe mmoja tu
6. Rangi yoyote, awe na shepu kiasi au zaidi, sura sio lazima
7. Awe Darisalam au awe tayari kuishi Dar
Karibuni kama kuna mtu ana ndugu yake au dada yake basi unaweza kucheza kama agent.