Natafuta mchumba wa kike

Natafuta mchumba wa kike

20250625_074958.jpg
 
Mimi Dennis Robert natafuta mchumba wa kike anayekaa dsm karibuni

Baada ya mda tegemea reply kama zifuatazo;-
soon watakuja member watasema tulijua hamna kitu ni swala la mda tu tulikuwa tunasubiri, mtu gani anataka kugombea hata mke hana, wengine deo kisandu anatumia I'd nyingine

Lakini ukija kwenye mada nikosa mimi au mtu yeyote kutafuta mchumba huku jibu ni hapana, kuna watu wengi sana wanaume na wanawake wanatamani kutafuta wachumba huku kwa kuogopa kukosolewa sababu jamiiforum ni mtandao bingwa wa kukosoa

Kuna mtu anasema kabla sijaweka Tangazo langu la kutafuta mwanamke au mwanaume acha nikaangalie matangazo ya watu wengine ambayo tayari yapo nione upepo ukoje akifungua post ya kwanza anakutana na misumari almost asilimia tisini, anaenda ya pili, ya tatu kote huko ni misumari anaguna duuuu kwa hali hii ni bora nisipost lakin yamkin angepost angekutana na mke au mme wake fahamu maisha hayana formula
Ukishaitwa Dennis sidhani kama ungetafuta mchumba wa kiume.Mola awe nawe.
 
Hii nafasi ya kipekee kabisa inatakiwa mabinti wachangamke sana......tena nashauri watu wenye majina haya wawahi nafasi, ni moja ya majina yenye bahati sana kuwa wake wa viongozi ANNA, JANETH, MARIA kama una jina moja wapo hapa mpigie simu mheshimiwa uchumba uanze mara moja, hautajutia.

min -me Shimba ya Buyenze
Mheshimiwa anatafuta jiko
 
Hii nafasi ya kipekee kabisa inatakiwa mabinti wachangamke sana......tena nashauri watu wenye majina haya wawahi nafasi, ni moja ya majina yenye bahati sana kuwa wake wa viongozi ANNA, JANETH, MARIA kama una jina moja wapo hapa mpigie simu mheshimiwa uchumba uanze mara moja, hautajutia.

min -me Shimba ya Buyenze
Mheshimiwa anatafuta jiko
20250625_081011.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom