Natafuta mchumba, mume mtarajiwa

Natafuta mchumba, mume mtarajiwa

Huyo wa kutimiza hayo masharti labda umtengeneze mwenyewe. Uandishi wako tu unaonekana bado hujawa matured enough to handle a full grown man.
 
Utampenda yeye au ndio hio kazi nzuri. Tatizo wamama wamegom kuzaa vijana wenye sifa zote hizi unazozitaka
 
Shunieee nilipanga tuwe pamoja eeh nashangaa kwa nini umebadilika ghafla
Marafiki zangu wanakujua wanasema aah , hata yeezus naye anakuja anasema .......
unaimbisha mdogomdogo .Waweza fanikiwa
 
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 25, natafuta mchumba anayenizidi miaka mitano(5) na kuendelea. Sharti awe mkristo ( Mlutherani sitaki kuwachanganya watoto na pia nahitaji familia yangu iwe ya dini), mpole ( Kuna wanaume wanaoogopapa kuwatongoza wanawake type kama hizo ndo nataka).

Usijali mapenzi tutafundishana kwenye ndoa (yaani ujuzi), uwe mrefu mwembamba, uwe na kazi nzuri (coz na mimi nina kazi nzuri) na ni mwembamba pia. Kabila utoke ndani haya matatu- msukuma, mhaya, na mkurya (mimi mhaya).

Elimu uwe na degree, usiwe na mtoto au ulishawahi kumpa mimba mdada yeyote akatoa (sitaki laana mimi, nataka kitu fresh kama mimi ingawa kufanya nilishafanya yaani ku do).

Nitakuheshimu na kukupenda kwa dhati kama utakuwa serious. Kama mzungu pia unakaribishwa ila sio mhindi au mchina.

Kama utakuwa interested ni-pm.
Believe me huwezi kumpata huyo unayemuota!
ila kwa hii msg wahuni "watakudinya" kwa kuwa wanakuona uko desperate!
vibinti at your age, often huwa na vijimashauzi of this nature, ila saa ndoa ikifika utaburuzwa tu hata na mfipa, mgogo, mchaga etc!
yaani toka o-level hadi university umekosa potential partner ktk cycle zako?
hapakuwa na classmate, schoolmates, rafiki wa class/schoolmates (including chuo) au hata ndugu za watu wa karibu nawe waliokuwa interested?
Anyway, unaweza kumuotea hata huku, you never know, ila ukimpata tupe mrejesho!
 
Kwan ww ndo umeumba mmh jaman masharti kibao tafutaga huko mtaani na Id yako feki
 
Pamoja na mashart yote hayo hauna Bikra, Bint mungu anakuona....!! Endelea kutafuta, kwa style hiyo jiandae kugegedwa kwa miaka mitano iajayo...!! Rudi tena na hapa 2020 kwa sharti moja tu, tukiwa na uzima.
 
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 25, natafuta mchumba anayenizidi miaka mitano(5) na kuendelea. Sharti awe mkristo ( Mlutherani sitaki kuwachanganya watoto na pia nahitaji familia yangu iwe ya dini), mpole ( Kuna wanaume wanaoogopapa kuwatongoza wanawake type kama hizo ndo nataka).

Usijali mapenzi tutafundishana kwenye ndoa (yaani ujuzi), uwe mrefu mwembamba, uwe na kazi nzuri (coz na mimi nina kazi nzuri) na ni mwembamba pia. Kabila utoke ndani haya matatu- msukuma, mhaya, na mkurya (mimi mhaya).

Elimu uwe na degree, usiwe na mtoto au ulishawahi kumpa mimba mdada yeyote akatoa (sitaki laana mimi, nataka kitu fresh kama mimi ingawa kufanya nilishafanya yaani ku do).

Nitakuheshimu na kukupenda kwa dhati kama utakuwa serious. Kama mzungu pia unakaribishwa ila sio mhindi au mchina.

Kama utakuwa interested ni-pm.
Kweli hali ngumu......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom