Ndo nami najadili Kuna mtu ataenda kunena kwa lugha...😂
Hauna bahati, mimi wanawake wa Arusha No Way tena mbaya zaidi Sakina!Hello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Wanaume wanene wamepata mkomboziHello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Umepata tayari Ila huo umri utapata sponsor au tuseme mume wa mtu Ila kwa kua bado mbichiiiiHello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Why?Hauna bahati, mimi wanawake wa Arusha No Way tena mbaya zaidi Sakina!
Ni warembo ila la! Hapana.
Nipo hapa kuna nini?Wanaume wanene wamepata mkombozi
Kwanini wamafanyeje hao wa Sekina?Hauna bahati, mimi wanawake wa Arusha No Way tena mbaya zaidi Sakina!
Ni warembo ila la! Hapana.
TupoUnataka wazee.
Eh Mungu wangu nusu roho ya katoto kawatuNjoo pm chapu mamiii jf nzima mwanaume niliyebaki mwenye mapenz ya kweli ni mimi pekee
Atakuwa amewalenga wenye financial stability
Wewe ushaolewa kwani?Eh Mungu wangu nusu roho ya katoto kawatu
Sema suponsaAtakuwa amewalenga wenye financial stability
Hataki mwanaume wa kumwambia kuna deal nalisubiria 😅🙌
hatimae kupatwa kwa carasco putin kumefikaNjoo pm chapu mamiii jf nzima mwanaume niliyebaki mwenye mapenz ya kweli ni mimi pekee