Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
uyo namkimbiaga tu haelewi kituHa ha ha ha umepatikana Leo malizana nae mwenyewe
uyo namkimbiaga tu haelewi kituHa ha ha ha umepatikana Leo malizana nae mwenyewe
Kwan kuna mtu alikuambia nnamendeapoa poa mkuu ila msimendee mke wangu nina malengo naye makubwa ,niko radhi kuuza nyumba moja ya nyumba zetu nipate pesa ya kutanua na shunie wangu
Ha ha ha ha kwel Kaz ipo leouyo namkimbiaga tu haelewi kitu
aisee hivi nan ni mkeopoa poa mkuu ila msimendee mke wangu nina malengo naye makubwa ,niko radhi kuuza nyumba moja ya nyumba zetu nipate pesa ya kutanua na shunie wangu
leo ntakucheki tuongee ile ishuuyo namkimbiaga tu haelewi kitu
itakua ni utoto si unajua foolish ageHa ha ha ha kafa kaoza moja haisom mbili haikai
wewe hapo pekee sina mwingineaisee hivi nan ni mkeo
ha ha ha kaka acha nikuage tutakutana kwenye jukwaa letuHa ha ha ha kwel Kaz ipo leo
Kwan kuna mtu alikuambia nnamendea
Ha ha ha ha kuza kipaji hchoitakua ni utoto si unajua foolish age
hatuna issue yeyote mm na wwleo ntakucheki tuongee ile ishu
Shunie mke wangu usinishushe hivyo naumiaitakua ni utoto si unajua foolish age
Poa poa tumuache nshomire apate mwenzaha ha ha kaka acha nikuage tutakutana kwenye jukwaa letu
Ushasahau ?hatuna issue yeyote mm na ww
Ww una sura mbaya, unajipa moyo tuMimi nimesema nilisha do. tayari kwa iyo haina shida ya shuka jeupe, pia picha siweki maana nahitaji mtu wa kunitrust kweli kwanza , na tatu mm sio mzuri sana , ni wa wastani , mwembamba afu maji y a kunde ila sina sura mbaya pia kwenye hilo group simo,, ni wa kati
Kweli akabandikehaya maombi ungeyabandika kwenye mbao za matangazo halmashauri ya mara/musoma/tarime/bukoba usipotezeee watanzania muda
Shunieee nilipanga tuwe pamoja eeh nashangaa kwa nini umebadilika ghaflaha ha ha kaka acha nikuage tutakutana kwenye jukwaa letu

07549111..Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 25, natafuta mchumba anayenizidi miaka mitano(5) na kuendelea. Sharti awe mkristo ( Mlutherani sitaki kuwachanganya watoto na pia nahitaji familia yangu iwe ya dini), mpole ( Kuna wanaume wanaoogopapa kuwatongoza wanawake type kama hizo ndo nataka).
Usijali mapenzi tutafundishana kwenye ndoa (yaani ujuzi), uwe mrefu mwembamba, uwe na kazi nzuri (coz na mimi nina kazi nzuri) na ni mwembamba pia. Kabila utoke ndani haya matatu- msukuma, mhaya, na mkurya (mimi mhaya).
Elimu uwe na degree, usiwe na mtoto au ulishawahi kumpa mimba mdada yeyote akatoa (sitaki laana mimi, nataka kitu fresh kama mimi ingawa kufanya nilishafanya yaani ku do).
Nitakuheshimu na kukupenda kwa dhati kama utakuwa serious. Kama mzungu pia unakaribishwa ila sio mhindi au mchina.
Kama utakuwa interested ni-pm.
Aliye kufumua malinda ndio mwambie akuoe sio kuleta mashart utadhan kalmanzilaMimi nimesema nilisha do. tayari kwa iyo haina shida ya shuka jeupe, pia picha siweki maana nahitaji mtu wa kunitrust kweli kwanza , na tatu mm sio mzuri sana , ni wa wastani , mwembamba afu maji y a kunde ila sina sura mbaya pia kwenye hilo group simo,, ni wa kati