Nipe namba Nita kupigia,Naam kigoma maeneo yenye rutuba yapo kaka na ni village ila kuna fikika
Nishaichukua, ifute hiyo Sasa.0628849189
Nitampa no yako, ata kucheki.Haina shida
Umesomea nn?Hata kazi ya kulipwa 200,000 naomba connection![]()
PoaaIla mkumbushe kwa sasa sipo kigoma ila hawez kosa maelekezo
Mkuu sorry hii unaingizaje pesaTafuta utundu wa kutengeneza video za katuni
Huo ujuzi unaoMkuu sorry hii unaingizaje pesa
Nilianza kujifunza baada ya muda nikastopHuo ujuzi unao
Shule private usimdanganye huko ni majanga tu hawalipi mishahara mpaka miezi sita inafika, shule nyingi zinakufa kibudu maticha waliopo huko wanaugulia maumivu.....Ungejaribu kuomba hata shule private, au hata mikoani Kuna uhitaji.

Education MkuuUmesomea nn?
Thanks sikua online mzee ngoja nimcheki if ajapatikana
We mcheki ukapige kazi broThanks sikua online mzee ngoja nimcheki if ajapatikana
Mkuu mpe Basi huo mtaji🤔, maana Ume kuja kuonyesha tatizo.Shule private usimdanganye huko ni majanga tu hawalipi mishahara mpaka miezi sita inafika, shule nyingi zinakufa kibudu maticha waliopo huko wanaugulia maumivu.....
Uwepo wa shule nyingi za kata umeharibu biashara ya private school.
Imagine walimu wa private wananyanyasika, wanatukanwa na kufanyiwa kila aina ya dharau na mabosi zao lkn hawaondoki kwa malipo ya 150,000 mpaka 200,000.
Huko asiende bora ajiajiri tu.![]()
Sio lazima nimpe mtaji hata mawazo yanaweza kumsaidia kupata option ya wp pakwenda.Mkuu mpe Basi huo mtaji, maana Ume kuja kuonyesha tatizo.
Bila ufumbuzi, wakati mtu kaomba issue yoyote
Poaa
Bado sio suluhisho sisi tuliosomeshwa haimaanishi tunawwz kupata mitaji kwa waliotusomesha, ww mwenyew unafaham hali ya watanzania wengi na aina ya elimu vp ikiwa alikuw anasaidiwa na serikali kama ilivyokuwa kwangu!? Je kama waliomsomesha hawana hela zaid ya kumpata mtaji kama mimi?Huyo anaetaka kulima namshaur akatembelee sehem inaitwa magu ipo mkoa wa mwanza kule wanalima kila mda hawanaga kupoa yaan weka ni weke toa niweke
Sio lazima nimpe mtaji hata mawazo yanaweza kumsaidia kupata option ya wp pakwenda.
Kama sikosei amesema amemaliza chuo bila shaka wapo waliomsomesha ambao wanaweza kumsaidia kumpa huo mtaji.....