Natafuta mchongo wowote halali, nipo Mwanza

Natafuta mchongo wowote halali, nipo Mwanza

Mimi nimeongelea kwa vijana wengi ambao wanamitazamo hio
Naona kabsaa unaend kuwa specific kwangu then nikihoji unakuja na generally term aisee!!
Anyway sasa ww sijui unataka tuanze na mishahara midgo kiasi gan?
 
mwanza pagumu sana mkuu..mimi nakuambia ukweli ambao huwezi kuambiwa hapa...nenda kahama au katoro mkuu utakuja kunishukuru....huo mji wa mwanza umejaa wahaya na sifa za wahaya ni ubinafsi
Ukweli ulio uchi huu ...nambie mh huko katoro ama kahama mzee napata mishe zipi ukianza kwanz na elimu hapo juu
 
Naona ujenzi bado unaendelea, japo kipo karibu kukamilika na shughuli zianze. Ila naamini hauwezi kukosa hata mia, nawaona vijana wanatengeza pesa kuliko wale wanaobagua kazi na kukaa tu mtaani.
Hii kauli ya kukaa mtaan na kubagua kazi inaumiza sana kichwa changu
Ila kwa vile naamua kufikiria saba labd kuliko wengine bado ntaonekana si chchte

Ila nakuhakikishia ndio maan ww unapita ukiona vijana wakiiend pale means ww una misingi yako
 
Back
Top Bottom