Natafuta mchongo wowote halali, nipo Mwanza

Natafuta mchongo wowote halali, nipo Mwanza

Nina kazi ya sales kwenye kampuni yangu changa: mshahara 250,000/= fixed.
Location : Kigamboni
Aina ya kazi: Salesperson: Vinywaji (soft drinks) kwa kutumia VAN.
Contract ni miezi 3 renewable based on performance.
Muda wa kazi : Saa 2 asb hadi 10 jioni. Jumatatu hadi Jumamosi.
Commission: Commission ipo kama utazidi malengo ya mauzo kwa mwezi.
Gender: Kazi inahusisha mizunguko mingi na beba shusha ya mizigo - preffered gender ni Me hata hivyo KE pia anaweza kufanya.
Sifa muhimu: Ujuzi wa kuuza kwa wateja wa aina zote (Mahotel, Taasisi, Maduka makubwa kwa madogo)
Elimu: Elimu yoyote ili mradi anajua kufanya mauzo na kusimamia mahusiono mazuri na wateja.
Lugha: Awe na ufasaha wa lugha ya kiswahili na kiingereza.
Makazi: Akiwa anaishi au kuweza kuhamia kigamboni itafaa itapendeza zaidi.
Wadhamini: Awe na wadhamini wawili waajiriwa wa serikali au kampuni binafsi zenye wasifu mkubwa Tanzania mfano: NMB au Azam na nyinginezo.
Sifa za ziada: Akiwa na leseni ya udereva itakuwa bora zaidi lakin sio lazima.
Muda wa kuanza kazi: Tarehe 1 August 2023.
Maelezo zaidi: Karibu inbox.
Asante.
Sea Beast na Exformer fursa mliyo itaka ndo hii.
 
Nina kazi ya sales kwenye kampuni yangu changa: mshahara 250,000/= fixed.
Location : Kigamboni
Aina ya kazi: Salesperson: Vinywaji (soft drinks) kwa kutumia VAN.
Contract ni miezi 3 renewable based on performance.
Muda wa kazi : Saa 2 asb hadi 10 jioni. Jumatatu hadi Jumamosi.
Commission: Commission ipo kama utazidi malengo ya mauzo kwa mwezi.
Gender: Kazi inahusisha mizunguko mingi na beba shusha ya mizigo - preffered gender ni Me hata hivyo KE pia anaweza kufanya.
Sifa muhimu: Ujuzi wa kuuza kwa wateja wa aina zote (Mahotel, Taasisi, Maduka makubwa kwa madogo)
Elimu: Elimu yoyote ili mradi anajua kufanya mauzo na kusimamia mahusiono mazuri na wateja.
Lugha: Awe na ufasaha wa lugha ya kiswahili na kiingereza.
Makazi: Akiwa anaishi au kuweza kuhamia kigamboni itafaa itapendeza zaidi.
Wadhamini: Awe na wadhamini wawili waajiriwa wa serikali au kampuni binafsi zenye wasifu mkubwa Tanzania mfano: NMB au Azam na nyinginezo.
Sifa za ziada: Akiwa na leseni ya udereva itakuwa bora zaidi lakin sio lazima.
Muda wa kuanza kazi: Tarehe 1 August 2023.
Maelezo zaidi: Karibu inbox.
Asante.
Ninakuja inbox kiongoz
 
Nitangulize wasifu kwanza
Education : degree Of Community Economic Development (CED )
Age: 25
Location : currently Mwanza.

Ndugu zanguni kama mjuavyi hali ni tete, nipo mwanza
Ama hakika kama kuna mtu yeyote ambae anaweza fanya kitu muhimu kupata shughuli ya kupata chochote kitu kupitia taaluma yangu ama vyovyote halali juu yangu. Nitamshukuru sana

MWANZA kwa sasa sina hali
Masaada kwenu
Una digree na unalialia,wasomi mnafeli wapi?kuwa na digree Ni mtaji tayari,Dar graduate wengi wanaendesha ubber,kwanini mlisoma?

Sie hatuna digree na tuna hangaika kinoma wewe na degree yako unaomba mchongo!!

Shame on you
 
Upo Mwanza maeneo gani? Jaribu hata kiwanda cha nondo kinachotengenezwa nje kidogo ya Kisesa, barabara ya Musoma.

Kila siku nawapita pale vibarua wanaenda kupiga kazi, nenda kajaribu fusa pale.
Vibarua???MTU ana digree
 
Una digree na unalialia,wasomi mnafeli wapi?kuwa na digree Ni mtaji tayari,Dar graduate wengi wanaendesha ubber,kwanini mlisoma?

Sie hatuna digree na tuna hangaika kinoma wewe na degree yako unaomba mchongo!!

Shame on you
Inanibidi nikubali yote kaka
Kuwa na degree haina maana kuwa umeshayafikia maisha ipasavyo ..kuwa na cheti ni hatua moja na kupata ajiria ni hatua ya 2 unahitaj kuikazania kama.ulivyokazania masomo unless uwe na mtu wa kukushika mkono.
Binafsi nilikuwa na mpango wa kuitafuta leseni lakin ni lazima nipate hela ya kwenda huko.

Yote kwa yote ahsante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom