Natafuta mchongo wowote halali, nipo Mwanza

Natafuta mchongo wowote halali, nipo Mwanza

Hii kauli ya kukaa mtaan na kubagua kazi inaumiza sana kichwa changu
Ila kwa vile naamua kufikiria saba labd kuliko wengine bado ntaonekana si chchte

Ila nakuhakikishia ndio maan ww unapita ukiona vijana wakiiend pale means ww una misingi yako
Ni kweli kwa uyasemayo, misingi ipo tayari. Naomba ujifunze kuanza chini ndo upande juu, vilevile usipende kuharakisha mambo, mafanikio yatakuja yenyewe kupitia juhudi zako.

Sitaki ukate tamaa ya kupambana kisa taaluma uliyoipata, kuna watu tunafanya kazi zilizo nje ya taaluma tulizochukua. Anza na kidogo kijana, naamini utafika mbali.
 
Ni kweli kwa uyasemayo, misingi ipo tayari. Naomba ujifunze kuanza chini ndo upande juu, vilevile usipende kuharakisha mambo, mafanikio yatakuja yenyewe kupitia juhudi zako.

Sitaki ukate tamaa ya kupambana kisa taaluma uliyoipata, kuna watu tunafanya kazi zilizo nje ya taaluma tulizochukua. Anza na kidogo kijana, naamini utafika mbali.
Ahsante nipe mchongo mwingne ukiacha na huo
Sema sad ni kwamba mwanza ni mkoa ambao nimekuja temporarily nilikuw na interviews kadhaa tu then narudi home
KIGOMA
 
Nitangulize wasifu kwanza
Education : degree Of Community Economic Development (CED )
Age: 25
Location : currently Mwanza.

Ndugu zanguni kama mjuavyi hali ni tete, nipo mwanza
Ama hakika kama kuna mtu yeyote ambae anaweza fanya kitu muhimu kupata shughuli ya kupata chochote kitu kupitia taaluma yangu ama vyovyote halali juu yangu. Nitamshukuru sana

MWANZA kwa sasa sina hali
Masaada kwenu
Izo course ni za Watoto wa kishua...Bora uende VETA ukasomee umeme wa Magari
 
mwanza pagumu sana mkuu..mimi nakuambia ukweli ambao huwezi kuambiwa hapa...nenda kahama au katoro mkuu utakuja kunishukuru....huo mji wa mwanza umejaa wahaya na sifa za wahaya ni ubinafsi
Kahama kuna kazi gani boss na uko geita?
 
Ahsante nipe mchongo mwingne ukiacha na huo
Sema sad ni kwamba mwanza ni mkoa ambao nimekuja temporarily nilikuw na interviews kadhaa tu then narudi home
KIGOMA
Mkuu nime ona una saka job na home no kigoma, je unaeza tafuta maeneo ya kulima maharage.
👉Sehemu yenye rutuba, with cheap price ya kukodi- 20-30.
👉Eneo lenye chanzo Cha maji, Kuna mtu alitaka akapige mishe huko Exformer
 
Sorry Mkuu kuleta huku suala la PM maana hakuna namna nyengine ya kuwasilisha PM naona inamatatizo leo nimeona hadi huu uzi wa Complain👇

Niweke hapa baadhi ya details za CV zisizo nifichua ID yangu

Personal Detail
Kuishi: DSM
Umri: 27

Elimu: Shahada ya Elimu (Uwalimu)

Experience:
1)Nimewahi kufundisha Secondary Form 1 na Form 3
2)Nimefanya kazi ya Customer care na Call-Center kwenye Kampuni

Nipo tayari kufanya kazi yeyote asante
Ungejaribu kuomba hata shule private, au hata mikoani Kuna uhitaji.
 
Nina kazi ya sales kwenye kampuni yangu changa: mshahara 250,000/= fixed.
Location : Kigamboni
Aina ya kazi: Salesperson: Vinywaji (soft drinks) kwa kutumia VAN.
Contract ni miezi 3 renewable based on performance.
Muda wa kazi : Saa 2 asb hadi 10 jioni. Jumatatu hadi Jumamosi.
Commission: Commission ipo kama utazidi malengo ya mauzo kwa mwezi.
Gender: Kazi inahusisha mizunguko mingi na beba shusha ya mizigo - preffered gender ni Me hata hivyo KE pia anaweza kufanya.
Sifa muhimu: Ujuzi wa kuuza kwa wateja wa aina zote (Mahotel, Taasisi, Maduka makubwa kwa madogo)
Elimu: Elimu yoyote ili mradi anajua kufanya mauzo na kusimamia mahusiono mazuri na wateja.
Lugha: Awe na ufasaha wa lugha ya kiswahili na kiingereza.
Makazi: Akiwa anaishi au kuweza kuhamia kigamboni itafaa itapendeza zaidi.
Wadhamini: Awe na wadhamini wawili waajiriwa wa serikali au kampuni binafsi zenye wasifu mkubwa Tanzania mfano: NMB au Azam na nyinginezo.
Sifa za ziada: Akiwa na leseni ya udereva itakuwa bora zaidi lakin sio lazima.
Muda wa kuanza kazi: Tarehe 1 August 2023.
Maelezo zaidi: Karibu inbox.
Asante.
 
Back
Top Bottom