Mzee wa kazi ngumu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2023
- 799
- 2,343
Mkuu hichi kiwanda kipo sehemu gani kama unatokea Mjini kati? Na mpaka sasa bado unawakuta vibarua hapo?.Upo Mwanza maeneo gani? Jaribu hata kiwanda cha nondo kinachotengenezwa nje kidogo ya Kisesa, barabara ya Musoma.
Kila siku nawapita pale vibarua wanaenda kupiga kazi, nenda kajaribu fusa pale.