Mkuu unahitaji mbwa mwenye umri gani mkuu?manake kwa breed unayohitaji kwa mbwa mwenye miezi miwili ni Tshs laki 3,pia mafunzo mbwa anapewa akiwa na umri wa miezi kuanzia mitano,kwa mbwa ambaye tayari ana mafunzo hapo si chini ya 1mil.kwa mbwa mmoja.so weka vigezo vya mbwa unayetaka ili nikueleze pa kumpata.
wakuu heshima mbele ninatafuta mbwa 2 wakufuga wale wanaosemaga wa police wenye mafunzo ya kupambana na wahalifu najua hapa jamvini akikosekani kitu pls wenye kujua haya tujuzane
mtoto wako wa kike kavunja ungo nini?
Mkuu unahitaji mbwa mwenye umri gani mkuu?manake kwa breed unayohitaji kwa mbwa mwenye miezi miwili ni Tshs laki 3,pia mafunzo mbwa anapewa akiwa na umri wa miezi kuanzia mitano,kwa mbwa ambaye tayari ana mafunzo hapo si chini ya 1mil.kwa mbwa mmoja.so weka vigezo vya mbwa unayetaka ili nikueleze pa kumpata.
Parachichi bana......we drphone nenda poshti huwa nasikia wanauzaga wu wu wu zao au kama vipi tafuta wu wu unayoiona iko fiti uwapelekee poshti wanaweza kukufunzia makarate na makungfu.....hata kutegua mabomu wanafundishwa
nimekusoma mkuu shopper plaza au
wakuu heshima mbele ninatafuta mbwa 2 wakufuga wale wanaosemaga wa police wenye mafunzo ya kupambana na wahalifu najua hapa jamvini akikosekani kitu pls wenye kujua haya tujuzane
Dr Pole kwa vibaka. Mbwa kwa sasa ni ghali sana. Wa miezi 2 wanafikia kama laki 3 hivi. Wakizidi hapo wanafika mpaka 6 hadi 7. Kwa sasa mbwa waliofundishwa hufika hata 1m kama member 1 alivyosema. Ukinunua hawa wa miezi 2 unawakuza wakifikia kufundishwa unamtafuta mwalimu anafundisha kwa mwezi 1 ni 120,000. Mwezi mmoja unatosha kabisa kama mwalimu ni mzuri.
Huku Moshi wanapatikana ila lazima uwe mwangalifu sana kuchagua.
Mimi kwa sasa ninao wale pet dog (wa urembo). Pure white bolognise. Wana miezi miwili kwa sasa and very active. Kwa wanaohitaji wani PM
Ana umri gani kaka. Kwangu kuna vidume 2 katika hivyo vitoto sema kama unahitaji niambie.Nina jike la hiyo Bolognise nahitaji mpandaji