kifukumkunyi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 245
- 192
Ndugu wanajamii natafuta mbegu ya mbuzi aina ya (Bore Goat ) , kwa yoyote anayeweza kunisaidia naomba msaada wenu. Kama mbuzi wanapatikana au wapi ninaweza kupata mbegu za kupandishia.
Asante sana Bluetooth.Uganda wapo lakini siyo pure .... na pia unaweza pata crossed na breed ingine
Ni wakubwa kulinganisha na aina nyingi za mbuzi, wako na nyama nyingi.sifa kubwa za hawa mbuzi ni ipi mkuu
mmoja anaweza kufika kilo ngapi, na wanapatikana wapi hapa tanzaniaNi wakubwa kulinganisha na aina nyingi za mbuzi, wako na nyama nyingi.
mmoja anaweza kufika kilo ngapi, na wanapatikana wapi hapa tanzania
Uganda wapo lakini ni 75% boaer. Najaribu kujua ni hatua zipi nifanye ili niwalete lakini sijapata majibuMpaka 150kg. Wanatoka SA ila sijui kama hapa TZ wapo. Labda kwa JK
embu jamani wenzetu wenye uwezo fanyeni mpango muwalete tz. na sisi tupate mbegu.
ila sijui kama watahimili hali ya hewa.
mana mbuzi kufikia kilo 150. si haba.wazo lako ni zuri sana .... linahitaji ufuatiliaji na utekelezaji ..... naamini mtu/watu wakiweza kuleta hii breed hapa kwetu na ikaweza kustawi basi hii itakuwa fursa kubwa sana kibiashara
ngoja nimuulize mkaburu
Vipi hao mbuzi uliwapata ni wanono sana ila unaweza kuwazalisha kutokana na mbuzi wa kawaida ,aina hiyo ya mbuzi ni mix ya mseto wa mbwa wakubwa mbegu zake zinachanganywa na za mbuzi ndiyo unakuwa na type hiyo ya goat [emoji238]
Mbegu mix dog [emoji240] + mbuzi [emoji238] = ndiyo wakapatikana aina hiyo ya mbuzi ,ila ni mix ya wale dog [emoji240] wakubwamana mbuzi kufikia kilo 150. si haba.
ila kinachonishangaza kwann vyuo vyetu vya kilimo hawana hii mbegu
Mzee utaanza kimbiza watu humu...Mbegu mix dog [emoji240] + mbuzi [emoji238] = ndiyo wakapatikana aina hiyo ya mbuzi ,ila ni mix ya wale dog [emoji240] wakubwa
ThibitishaMbegu mix dog [emoji240] + mbuzi [emoji238] = ndiyo wakapatikana aina hiyo ya mbuzi ,ila ni mix ya wale dog [emoji240] wakubwa