MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,574
- 8,907
Mtafute CHASHA FARMING nazani ana chimbo la hao mbuzi
[emoji15][emoji15]Mbegu mix dog [emoji240] + mbuzi [emoji238] = ndiyo wakapatikana aina hiyo ya mbuzi ,ila ni mix ya wale dog [emoji240] wakubwa
Ninacho kuambia ni kweli tupu kwani wewe unadhani kuna aina mpya ya mbuzi bado wanaumbwa na mungu ?Mzee utaanza kimbiza watu humu...
Ninacho kuambia ni kweli tupu kwani wewe unadhani kuna aina mpya ya mbuzi bado wanaumbwa na mungu ?
,wala usishangae hata michungwa ya kupandikiza kwa milimao kisha unavuna ndani ya two years ipo
Kuhusu hao mbuzi ni product ya dog + goat
Huko Japan wana hii kitu, wana changanya nyoka na mjusi, binadamu na sokwe au punda ili mradi waone kinacho weza kutokeaMbwa na mbuzi wanazaa vipi na ni familia tofauti? Ni sawa na kusema sasa Simba azae na kondoo.
We jamaa duh
Kuna vijimchezo kidogo vinachezwa kuwezesha mambo watu wanatafuta hela kwa nguvu zote mimi mwenyewe ninaye kuambia hizo mbinu nimeshuhudia kuna dawa zinawekwa kuwezesha jambo hilo kwani huoni kuku wa kizungu wanavyo taga mayai yasiyo weza kutotolesha vifaranga hiyo kitu inaitwa sayansi chotaraMbwa na mbuzi wanazaa vipi na ni familia tofauti? Ni sawa na kusema sasa Simba azae na kondoo.
We jamaa duh
Kama uni amini kula nyama ya huyo mbuzi siyo kali kama nyama ya mbuzi halisi haina harufu kali ya mbuzi wa kawaida pia uwezekano wa kusababisha ugonjwa wa gauti ni mdogo kwa sababu haina chum chumvi chumvi nyingi kama mbuzi wa kawaida ,yuliki acidiMbwa na mbuzi wanazaa vipi na ni familia tofauti? Ni sawa na kusema sasa Simba azae na kondoo.
We jamaa duh